kakison Alfred
JF-Expert Member
- Aug 17, 2014
- 364
- 209
Asante kwa taarifa mtawala wa milele.Hapana, haujaelewa, vyama haviwezi kufutwa kwa sababu vyama vipo kwa ajili ya kuikumbusha Serikali kama ikijisahau, kama ilivyotokea kipindi hiki na sasa Serikali imeamka na matokeo yanaanza kuonekana, hivyo hivi vyama ni lazima viwepo kwa ajili hiyo na hilo hata wenye vyama kama akina Mbowe, Mtei & Co. wanalijua, wanaweza wakashika Miji wakaongoza baadhi ya Halmashauri hapo sawa lkn
Siyo Kuongoza TanZania, hilo ni NOPE!
Huyu namfananisha na Mr Zero.Hili jamaa nalo bure tu!
Hakika huwezi kumuachia kibaka muiba simu bungeniHivi nchi itaachwa iende kwa vibaka?
Asante kwa taarifa mtawala wa milele.
Kwa hiyo issue ya kutawala ni kuwa CCM tu, simple like that.
Umekata maneno mengine ili iweje???Rais magufuli akihutubia kwenye maadhimisho ya miaka 39 ya CCM amesema "Kama kuna chama kina ndoto ya kutawala nchi hii wafute ndoto hiyo''.
Maana hakuna mtawala anayependa kutawaliwa,ameenda mbali na kusema. Hawa wenzetu wapinzani wanawaza ipo siku watatawala nchi hii wasahau hilo.
Dah nimejiuliza ina maana hata hao wapinzani wakishinda kwenye box waendelee kusahau? Nimeanza kupata picha ya kule visiwani,Pole sana Maalim.
Kuitamka demokrasia ni jambo moja,Kuitekeleza ni jambo jingine-Kagame
Uko sahihi kwa 100%. Ndiyo maana tuna vichwa lukuki ndani ya chama chetu cha MajambaziMpaka pale mbadala wa CCM atakapopatikana na kwa hali jinsi ilivyo simuoni siku za usoni!
kama nyi mnamsikiliza huyo kiongfozi wenu malumumba mmepotokaSiyo Kuongoza TanZania, hilo ni NOPE!
Myoa post kaongozwa na ushabiki mkuu asamehewe tu maana bado anazjngusha mikononyie ndio wachonganishi....hajaishia apo amesema kwa kua ccm wanafanya yale ambao wananchi wanayahitaj so wapinzan hawatakua na nafasi yakuchaguliwa...wewe naona unaandika ujinga ujinga tu
Hahahah[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23] ,Tukumbuke kuwa yupo kwenye sherehe acha aropoke,
Mkuu kama unafuatilia post nyingi hapa jf jana nilipost uzi mmoja unaosema ccm waanza kuuumbuwana na sasa magu kaamua kuwahakikishia watanzania kuwa wao kama ccm hawatakubali kuheshimu maamuzi ya wananchinya kuamua ni chama gani wanataka kiwatawaleRais magufuli akihutubia kwenye maadhimisho ya miaka 39 ya CCM amesema "Kama kuna chama kina ndoto ya kutawala nchi hii wafute ndoto hiyo''.
Maana hakuna mtawala anayependa kutawaliwa,ameenda mbali na kusema. Hawa wenzetu wapinzani wanawaza ipo siku watatawala nchi hii wasahau hilo.
Dah nimejiuliza ina maana hata hao wapinzani wakishinda kwenye box waendelee kusahau? Nimeanza kupata picha ya kule visiwani,Pole sana Maalim.
Kuitamka demokrasia ni jambo moja,Kuitekeleza ni jambo jingine-Kagame
Ni kweli mkuu lakini,anayosema ndio wanayoyafanya ulitegemea Magufuli amshide EL??bila kuchakachua kura zake??ni kuchakachua na kutumia nguvu pia ccm ni hiyo hiyo hadi zanzibar maneno yake si ya kuyapuuza huo ndio ukweli wenyewe.Watashinda sababu idadi ya watu wanaoichukia ccm inazidi kuongezeka.