Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,487
- 13,611
Tanzania inasumbuliwa na ugonjwa wa watu kupewa habari nusu nusu, ugonjwa huu huambatana na mwingine ambao ni upotoshaji wa ujumbe unaokusudiwa, lakini dawa ya kuyatibu magonjwa haya ni uanzishaji wa mamlaka itakayosimamia utendaji wa vyombo vya habari.nyie ndio wachonganishi....hajaishia apo amesema kwa kua ccm wanafanya yale ambao wananchi wanayahitaj so wapinzan hawatakua na nafasi yakuchaguliwa...wewe naona unaandika ujinga ujinga tu
hey we juha
CCM ameanzisha nani????na hadi akawa anapanga list
muasisi alipanga akitoka mwinyi anakuja flani,akitoka huyo flani then flani na kuendelea
think deep
usiwe na hoja finyu kma bongo zenu lumumba zilivyo
kwani yeye ndo anaamua?????Kama tu Mbowe amekuwa Mwenyekiti wa Chama bila hata ya uchaguzi na ndiyo anaamua nani agombee Uraisi na asingombee je akiwa Raisi wa nchi kuna dalili yoyote ile ya yeye kuachia madaraka?
sina hakika na tarehe ila uchaguzi unafanyika na yeye alichaguliwA KUWA PALENinaweza kukutajia ni lini kutakuwa na Uchaguzi CCM wa kuchagua Mwenyekiti wa Chama nitajie ni lini kutakuwa na Uchaguzi chadema wa kuchagua Mwenyekiti wa chama!
hii inaonyesha ni jinsi gani hujakomaa kisiasa,...
mwenyekiti wa chama lazma awe kiongoz wa upinzani bungeni
KWENDA WAPI WE VIPI MZIMA KWELIAngalia CCM Kikwete anaaga hivyo anaondoka anaingia mwingine, haya niambie Mbowe anaondoka lini?
sina hakika na tarehe ila uchaguzi unafanyika na yeye alichaguliwA KUWA PALE
CCM SIO ya watz ni kikundi cxha wezi wachache wapiga dili na kuhujumu rasilimali za watzUnataka kuweka picha kama vile CCM inamilikiwa na mtu binafsi au familia kama chadema, wakati siyo kweli CCM ni Mali ya Watz, ni mtoto wao wamemzaa, wamlea na sasa amekuwa wakati chadema ni mali ya Mtei ameizaa, ameilea na ataamua ni nani amuachie siku zake zikiisha!
Hivyo basi kwa kuwa CCM ni mali ya Watz ina maana Mtz yoyote yule mwenye sifa anaweza kuwa Kiongozi CCM rejea Raisi Magufuli alikuwa Mwalimu tu wa Sekondari leo hii ni Raisi wa nchi ya JMTZ, hata Kikwete mwenyewe hatokei ukoo wa kitajiri na maelite bali ni Mtz wa kawaida ambaye amekulia CCM na leo hii ni Mwenyekiti wa CCM, angalia watu wenye vyeo vikubwa CCM halafu uniambie kama ni maelite kizazi cha ngapi, lkn njoo chadema, nipe stori kama hizo chadema nitajie Viongozi wa chadema ambao ni masikini yaani walioanzia from nothing to the TOP nitajie mmoja TU ili upate uhalali wa kusema CCM wanataka kutawala milele.
Kwa maana kama kuna yoyote yule mwenye kila dalili za udikteta na kujilimbikizia Uongozi na Madaraka ni chadema, Mbowe ni Mwenyekiti wa Chama na pia na Mkuu ya Upinzani Bungeni na Mtoto wa mwanzilishi wa Chama Mzee Mtei yaani kaoa kwa Mtei, sasa ni nani kati ya CCM na chadema wanastahili kuitwa Chama cha kidikteta?
Kama tu Mbowe amekuwa Mwenyekiti wa Chama bila hata ya uchaguzi na ndiyo anaamua nani agombee Uraisi na asingombee je akiwa Raisi wa nchi kuna dalili yoyote ile ya yeye kuachia madaraka?
Ninaweza kukutajia ni lini kutakuwa na Uchaguzi CCM wa kuchagua Mwenyekiti wa Chama nitajie ni lini kutakuwa na Uchaguzi chadema wa kuchagua Mwenyekiti wa chama!
Angalia CCM Kikwete anaaga hivyo anaondoka anaingia mwingine, haya niambie Mbowe anaondoka lini? Ameongoza Chama kilichoshindwa uchaguzi mara tatu, kidemokrasia Dunia nzima Viongozi hujiuzulu punde chama wanachokiongoza kinaposhindwa sasa Mbowe kashindwa mara tatu na bado leo hii anasimamisha makende yake Bungeni eti anaunda Baraza la Mawaziri Kivuli, analipi jipya? Ni nani dikteta kati ya CCM na chadema?
Angalia Uongozi wa CCM ni sura ya Watz wa nchi nzima, Kikwete anatoka Bagamoyo, Kinana - Arusha, Nape - Mtwara/Lindi, mwingine Iringa ukija kwenye Halmshauri Kuu ya CCM ni sura ya nchi nzima sasa njoo chadema nitajie viongozi wake na wanatoka wapi?
Asilimia zaidi 85 ya viongozi wanatoka eneo ambalo halifikishi hata asilimia 10% ya WatanZania wote halafu unathubutu kuita CCM Chama cha kidekta? Kuna udikteta zaidi ya chadema?
Huo hujumbe hauusiani na Zanzibar maake ni miaka 39 ya ccm tanganyikaRais magufuli akihutubia kwenye maadhimisho ya miaka 39 ya CCM amesema "Kama kuna chama kina ndoto ya kutawala nchi hii wafute ndoto hiyo''.
Maana hakuna mtawala anayependa kutawaliwa,ameenda mbali na kusema. Hawa wenzetu wapinzani wanawaza ipo siku watatawala nchi hii wasahau hilo.
Dah nimejiuliza ina maana hata hao wapinzani wakishinda kwenye box waendelee kusahau? Nimeanza kupata picha ya kule visiwani,Pole sana Maalim.
Kuitamka demokrasia ni jambo moja,Kuitekeleza ni jambo jingine-Kagame
we hujielewi qaqa sinahaja ya kukuelekeza inaonyesha hujui mambo mengi sasa ntajipa kaz hapa kukufanulia mambo ya ndani ntapoteza mda bureCCM mwenyewe ni Watz na siyo mtu au familia moja na kama ipo itaje na uweke ushahidi lkn mimi naweza kukwambia kwamba chadema ni Mali ya Mtei na ushahidi upo wazi Mwenyekiti wa Chama ni mtoto wake na hachaguliwi na kikao chochote kile cha chama na yeye ndiyo anaamua nani awe mgombea uraisi na nani asiwe, sasa nakupa changamoto nitajie nani mmilikiwa uliacha CCM WatanZania?
KAMA Alivyokuwa Yeye Hakujua Kuwa Iko Siku Atakuja Kuwa RAIS Wa TANZANIA!! BASI Vivyo Hivyo Iko Siku Wapinzani Watakaa Madarakani!! PASIPO Yeye Na CCM Yake KUJUA!! Otherwise Yawe Yale Yale Ya Kuchakachua Na Kupora USHINDI, Kama Ilivyokuwa 28 Oct 15 ZANZIBAR!!! KAMA Yeye Na CCM Yake WATAENDELEA Na MIPANGO Hiyo, Ni SAWA KABISA Wapinzani Wasahau!!!Rais magufuli akihutubia kwenye maadhimisho ya miaka 39 ya CCM amesema "Kama kuna chama kina ndoto ya kutawala nchi hii wafute ndoto hiyo''.
Maana hakuna mtawala anayependa kutawaliwa,ameenda mbali na kusema. Hawa wenzetu wapinzani wanawaza ipo siku watatawala nchi hii wasahau hilo.
Dah nimejiuliza ina maana hata hao wapinzani wakishinda kwenye box waendelee kusahau? Nimeanza kupata picha ya kule visiwani,Pole sana Maalim.
Kuitamka demokrasia ni jambo moja,Kuitekeleza ni jambo jingine-Kagame
Kuwa na vyama vingi si lazima vishike dola..! Siasa siyo MTANI JEMBE, eti kwa vile yanga tu ndo anafungwa mechi za mtani jembe basi mtani jembe imefutwa. Hii ni ligi, hata kama ubingwa unaenda Jangwani miaka kumi mfululizo lazima ligi iendelee, siyo kufuta timu zingine eti ubaki na timu bingwa.Sasa si mfute tu vyama vingi mbaki wenyewe?
Kule zanzibar mmeachiwa nchi na cuf na bado mnalia lia badala ya kufurahia ushindi wa mezani.
Tehe tehe teh....! ukubali ukweli ili uwe huru..! chadema ni mali ya familia mtei.. wengine wote ni abiria wa treni..!we hujielewi qaqa sinahaja ya kukuelekeza inaonyesha hujui mambo mengi sasa ntajipa kaz hapa kukufanulia mambo ya ndani ntapoteza mda bure
unasumu za lumumba wewe
Kama Magufuli kwa lipi la maana? Tusubiri ni mapema sana. Time will tellKama kila rais atakuwa kama Magufuli
Kweli upinzani hii nchi wataisikilizia tu radioni.
CCM hakuna cheo cha urais..! Hilo lilikuwa dongo kwa Lowasa anajinasibu kugombea tena 2020.Kwani alihutubia kama nani? I hope alihutubia kama mwanachama! Ila kama alihutubia kama raisi basi akajitazame upya kwenye kioo!
Hakuna hata mpemba mmoja atakaye kufa ila wakileta za kuleta watasombwa wote na kuhamishiwa bara, maana bado tuna mapori ya kutosha huko Katavi na Rukwa kuwatosha wapemba laki tano kupata viwanja.Kwa Kauli Ya Huyu Mnaye Muita Rais,
Kuna Haja Ya Yale Ya Tunisia, Misir, Libya na Syria,jiandae Kuua Wengi Mwaka Huu Maana Kauri Hii Itawatbu CUF Zanzibar