MAGUFULISM: Falsafa ya Magufuli kwenye Siasa, Uchumi N.k

Mtoa uzi umesahau kuweka CV yako na namba ya simu mwishoni[emoji23][emoji23],au umechoka baada ya kuvizia teuzi na kukosa enzi za JPM[emoji134][emoji134]
Sasa hivi hata akiweka CV na namba ya simu havita msaidia maana teuzi hazimhusu.
 
Hii falsafa itaishi miaka mingi sana
We hujui kula na vipofu nini?.

Wakikugundua uhakika hutapata teuzi awamu hii,ni nakuchanua sahau mwendazake ashaenda hiyo hawezi kuamka tena.

Ni ningekuwa ni wewe ningejipendekeza kwa awamu ya sita..achana na mwendazake.
 
Hii falsafa itaishi miaka mingi sana
We hujui kula na vipofu nini?.

Wakikugundua uhakika hutapata teuzi awamu hii,ni nakuchanua sahau mwendazake ashaenda hiyo hawezi kuamka tena.

Ni ningekuwa ni wewe ningejipendekeza kwa awamu ya sita..achana na mwendazake.
 
Hakuwa na uaminifu wala imani yeyote juu ya dini,ujenzi wa uchumi na vita dhidi ya rushwa. Alichoongea ni tofauti na matendo! Kifupi alikuwa Tapeli,Mwongo na Shetani.
 
Hakuwa na uaminifu wala imani yeyote juu ya dini,ujenzi wa uchumi na vita dhidi ya rushwa. Alichoongea ni tofauti na matendo! Kifupi alikuwa Tapeli,Mwongo na Shetani.
Aliwekeza zaidi kwenye propaganda na cheap politics
 
We hujui kula na vipofu nini?.

Wakikugundua uhakika hutapata teuzi awamu hii,ni nakuchanua sahau mwendazake ashaenda hiyo hawezi kuamka tena.

Ni ningekuwa ni wewe ningejipendekeza kwa awamu ya sita..achana na mwendazake.
Umekosa nini wewe bint
 
Mimi sidhani kama Magufuli alianzisha falsafa mpya.Ni watu waliofilisika kimaadili tu au morally bankrupt ndio wenye mawazo hayo.Aliyokua anafanya Magufuli is the right way of doing things,it be in normal life or the economy.Unajua mkuu evil is now the new normal,and who ever tries to shun away evil is seen as abnormal,na ndio maana Magufuli alionekana wa ajabu.

Upo mkakati mzito wa "Social Engineering" unaoendelea kwenye jamii yetu na dunia nzima by the agents of evil, ili wote tupende uovu,na JF is no exception.Mada yako is doing just that,au kwa kujua au kwa kutokujua.I am sorry,lakini huo ndio ukweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…