shuhudia lihemla
Member
- Jul 12, 2014
- 61
- 17
je!! walimu wanaweza kunufaika na dr. pombe kwa kuwa yeye n mwalimu. alisema kero yenu kuu naijua maana na mm n mwalimu! pia alisema hata kama wanafunzi watasomea chini ya mti ila kama mwalimu atapata mshahara wa mkubwa wanafunzi watafauru2! unasemaje ww!!!