je!! walimu wanaweza kunufaika na dr. pombe kwa kuwa yeye n mwalimu. alisema kero yenu kuu naijua maana na mm n mwalimu! pia alisema hata kama wanafunzi watasomea chini ya mti ila kama mwalimu atapata mshahara wa mkubwa wanafunzi watafauru2! unasemaje ww!!!
ukawa wengi wao ni machizi siwezi kuwachagua! slaa ndio ovyo kabisa,mlafi wa kutupwa! bora msimamishe lipumba na si huyo kizee ambaye hana jipya tena,la sivyo lile wimbi la chopa 3 kata 3 linawanyemelea kwa kasi ya ajabu sana