B brazaj JF-Expert Member Joined Jul 26, 2016 Posts 31,698 Reaction score 41,733 Sep 18, 2024 #1 Imekuwa ni kawaida kupata misamiati mipya kutoka kwa marais ofisini. Huu ni msamiati mpya kwa wale wapendao kuishi kwenye taabu: Your browser is not able to display this video. BAKITA wakae mkao wa kula. Haikosi msamiati huu unawahusu zaidi wale Simba na chui wa kizimkazi. Kwenu Mahulukutaabu: Habari ndiyo hiyo. Pia soma:Rais Samia kwa Mabalozi: Hatupo hapa kuelekezwa nini cha kufanya kwenye nchi yetu
Imekuwa ni kawaida kupata misamiati mipya kutoka kwa marais ofisini. Huu ni msamiati mpya kwa wale wapendao kuishi kwenye taabu: Your browser is not able to display this video. BAKITA wakae mkao wa kula. Haikosi msamiati huu unawahusu zaidi wale Simba na chui wa kizimkazi. Kwenu Mahulukutaabu: Habari ndiyo hiyo. Pia soma:Rais Samia kwa Mabalozi: Hatupo hapa kuelekezwa nini cha kufanya kwenye nchi yetu
Tate Mkuu JF-Expert Member Joined Jan 24, 2019 Posts 33,092 Reaction score 96,127 Sep 18, 2024 #2 Ila madaraka yanalevya! Usimuliwe tu.
B brazaj JF-Expert Member Joined Jul 26, 2016 Posts 31,698 Reaction score 41,733 Sep 18, 2024 Thread starter #3 Tate Mkuu said: Ila madaraka yanalevya! Usimuliwe tu. Click to expand... Bila kukomaa huwa wanaweza kutuchulia poa sana.
Tate Mkuu said: Ila madaraka yanalevya! Usimuliwe tu. Click to expand... Bila kukomaa huwa wanaweza kutuchulia poa sana.