Christopher Wallace
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 1,479
- 3,788
Wataje magwiji hawa, na utuambie kama uliwahi kuwaona wakicheza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aha, nilijua tu kuna kitu kama hicho. Ila anaonyesha hana cha kujivunia alipokuwa Yanga na hata historia inamkumbuka zaidi kama mchezaji wa Simba.Amecheza Reli Morogoro,Waziri Mkuu ya Dodoma,Yanga,Jomo Cosmos ya South Afrika na Simba.
ayaaah!!Kulia nadhani ni Emmanuel Gabriel