Magwiji wa zamani wa Simba unawajua? Wataje

Magwiji wa zamani wa Simba unawajua? Wataje

Christopher Wallace

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2015
Posts
1,479
Reaction score
3,788
Wataje magwiji hawa, na utuambie kama uliwahi kuwaona wakicheza
48BB168F-590C-4124-BC33-A8F2A365C3AC.jpeg
 
Hivi Yusuf Macho hakuchezeka kwanza Yanga kweli?

Kwa muda sasa nimekuwa napendekeza hawa wachezaji wa zamani wawe wanaalikwa katika gemu na wawe wanatambulishwa mwanzoni mwa mechi au wakati wa mapumziko hata katika spika za uwanjani tu.
 
Amecheza Reli Morogoro,Waziri Mkuu ya Dodoma,Yanga,Jomo Cosmos ya South Afrika na Simba.
Aha, nilijua tu kuna kitu kama hicho. Ila anaonyesha hana cha kujivunia alipokuwa Yanga na hata historia inamkumbuka zaidi kama mchezaji wa Simba.
 
Back
Top Bottom