Christopher Wallace
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 1,479
- 3,788
Aha, nilijua tu kuna kitu kama hicho. Ila anaonyesha hana cha kujivunia alipokuwa Yanga na hata historia inamkumbuka zaidi kama mchezaji wa Simba.Amecheza Reli Morogoro,Waziri Mkuu ya Dodoma,Yanga,Jomo Cosmos ya South Afrika na Simba.
ayaaah!!Kulia nadhani ni Emmanuel Gabriel