Mahabusu kufagia eneo la kituo cha polisi.

Wasudi

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
226
Reaction score
223
Kwa wanaojua sheria hebu nijuzeni umekamatwa kwa kosa la jinai ukawekwa Mahabusu asubuhi unakabidhiwa fagio ufagie eneo la nje la kituo cha polisi je ni sahihi kufanyishwa kazi hiyo?
 
Kwa wanaojua sheria hebu nijuzeni umekamatwa kwa kosa la jinai ukawekwa Mahabusu asubuhi unakabidhiwa fagio ufagie eneo la nje la kituo cha polisi je ni sahihi kufanyishwa kazi hiyo?
Kufagia ni ishu ndogo sana bosi. Siku nyingine wanatakiwa wakubebeshe ile ndoo ya kinyesi ukaifanyie usafi.
 
Kufagia ni ishu ndogo sana bosi. Siku nyingine wanatakiwa wakubebeshe ile ndoo ya kinyesi ukaifanyie usafi.
Najua ile ndoo inabebwa na mahabusu kwa vile ndio walioitumia tambua nimeuliza kisheria na sio ujibu kwa maono yako au nawe ni Afande?
 
Kama hamna mahabusu wiki nzima anafagia nani?
Yoyote atakaepita tu mbele ya post mkuu unapewa fagio!!! natania mkuu wangu..... ila Huwa inategemea na location ya Post km kipo karibu na Magereza basi wafungwa hufatwa kwa shughuli hiyo Mkuu
 
Yoyote atakaepita tu mbele ya post mkuu unapewa fagio!!! natania mkuu wangu..... ila Huwa inategemea na location ya Post km kipo karibu na Magereza basi wafungwa hufatwa kwa shughuli hiyo Mkuu
Na kama kituo kipo mbali na magereza patabaki kuwa pachafu?
 
Na kama kituo kipo mbali na magereza patabaki kuwa pachafu?
Basi Mimi au Wewe tukikatiza kalibu na post tutapewa tu ufagio Maana Hakuna namna!!! ila Mimi sifagii mkuu!!! Joke!!! czan km kituo kinaweza Kukaa wiki hakijapata mtalii hata Wa nusu saa tu MKUU!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…