Mahafali kidato cha 4 Chamazi Islamic secondary yafana sana mgeni rasmi sheikh Mussa Kundecha

Mahafali kidato cha 4 Chamazi Islamic secondary yafana sana mgeni rasmi sheikh Mussa Kundecha

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
Wadau hamjamboni nyote?

Taarifa hapo chini:

Mgeni rasmi sheikh Mussa Kundecha na wageni wengi wamehudhuria wakiongozwa na mkurugenzi wa taasisi ya Hudaibiyah Master Juma Almasi.

Aidha Mwenyekiti wa Jumuia ya wataalamu wa kiislamu (TAMPRO) ni miongoni mwa waliohudhuria na kujumuika na wazazi na wahitimu wa kidato cha nne na wanafunzi wengine.
......

Dr. Harith Nkussa
Msemaji Maalum wa Mufti
Jumamosi 5.10.2024
Dar es salaam
 
Acha upumbavu kwenye mambo ya msingi!

Umesikia anagombea cheo serikalini mpaka umdai CV!!
Mgeni wa heshima mahafali ya wasomi wa chamazi sekondari CV yake ya elimu inatakiwa kueleweka

Iweke hiyo CV ya elimu ya shege Kundecha sio kesi weka
 
Tusubiri matokeo yao hatutaki kelele nyingi,tunawajua nyingi🤣🤣🤣
Mfano tuu wewe unazi wa dini umekufanya ushindwe kuelewa huku ni habari za siasa tuu sio mambo yadini.... Shida akili kiduuunch
 
Badala wamualike Bakhresa au MoDewji, GSM au Babra.... Hapo wataishia kupiga madufu tu na kupigana albadir, hawatapata chochote
Na wataishia tu na kelele nyingi za Takbiriiiiiiiii!!!!!. Kama wako Gaza kwa Hamas
 
Wadau hamjamboni nyote?

Taarifa hapo chini:

Mgeni rasmi sheikh Mussa Kundecha na wageni wengi wamehudhuria wakiongozwa na mkurugenzi wa taasisi ya Hudaibiyah Master Juma Almasi.

Aidha Mwenyekiti wa Jumuia ya wataalamu wa kiislamu (TAMPRO) ni miongoni mwa waliohudhuria na kujumuika na wazazi na wahitimu wa kidato cha nne na wanafunzi wengine.
......

Dr. Harith Nkussa
Msemaji Maalum wa Mufti
Jumamosi 5.10.2024
Dar es salaam
Kila laheri wahitimu..
 
Back
Top Bottom