Mahafla ya nane ya chuo kikuu cha Zanzibar Suza.

Mahafla ya nane ya chuo kikuu cha Zanzibar Suza.

abdulahsaf

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2010
Posts
858
Reaction score
130
[h=2]Saturday, December 22, 2012[/h][h=3]Mahafali ya nane ya Suza katika picha[/h]



Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(wa tatu kulia) pia Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA),pamoja na Viongozi wengine wa Chuo hicho wakiwa katika maandamano wakati mahfali ya nane yaliyofanyika leo katika
kampasi ya Tunguu
Baadhi ya Viongozi wakuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar walioalikwa katika sherehe za Mahafali ya nane ya Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) zilizofanyika leo katika kamapasi
ya Tunguu,Mkoa wa Kusini Unguja
Baadhi ya Viongozi wakuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar walioalikwa katika sherehe za Mahafali ya nane ya Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) zilizofanyika leo katika kamapasi
ya Tunguu,Mkoa wa Kusini Unguja
\Baadhi ya Wanataaluma wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,pia Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) ,akitoa hutuba yake baada ya kuwatunuku Shahada,katika sherehe za Mahafali ya nane ya chuo zilizofanyika
huko katika kampasi ya Tunguu leo.
Wanataaluma wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) wa fani mbali mbali wakiwa katika maandamano ya sherehe za mahafali ya nane ya chuo hicho zilizofanyika leo katika kampasi ya
Tunguu,Mkoa wa Kusini Unguja
Wahitimu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) ngazi ya Stashahada ya Lugha na Elimu, wakati walipokuwa wakitunukiwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(kulia) pia Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA), katika sherehe za mahafali ya nane ya Chuo hicho yaliyofanyika leo katika kampasi ya Tunguu



Wahitimu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) wakivaa kofia zao baada ya kutunukiwa shahada na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,pia Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) , wakati wa mahfali ya nane ya chuo hicho yaliyofanyika leo huko kamapasi ya Tunguu Mkoa wa Kusini
Unguja .

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,pia Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) ,akitoa zawadi kwa mwanafunzi bora katika fani ya
Cheti cha ukutubu kwa Nyezuma Hassan Juma,katika sherehe za Mahafali ya nane ya Suza,huko katika kampasi ya Tunguu leo
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,pia Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) ,akitoa zawadi kwa mwanafunzi bora katika fani ya
Shahada ya Sanaa na Elimu, kwa Sabrina Saidi Rashid,katika sherehe za Mahafali ya nane ya Suza,huko katika kampasi ya Tunguu leo
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,pia Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) ,akitoa zawadi kwa mwanafunzi bora katika fani ya Cheti cha Teknolojia ya Habari,(IT) kwa Lukuman Mohamed Bachu,katika sherehe za Mahafali ya nane ya Suza,huko katika kampasi ya Tunguu leo
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,pia Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) ,akitoa zawadi kwa mwanafunzi bora katika masomo ya
Elimu Ngazi ya Shahada Stephen Syepwa,katika sherehe za Mahafali ya nane ya Suza,huko katika kampasi ya Tunguu leo
\Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,pia Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) ,akitoa hutuba yake baada ya kuwatunuku Vyeti,Shahada na Stashahada,wa fani mbali mbali wahitimi wa Chuo Kikuu cha SUZA,katika
sherehe za Mahafali ya nane ya chuo hicho ,zilizofanyika huko katika kampasi ya Tunguu leo



Makamo Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) Profisa Idriss Ahmada Rai,akiteta jambo na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,pia Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA),wakati wa Maandamano ya sherehe za mahfali ya nane ya chuo hicho zilizofanyika katika kampasi
ya Tunguu leo
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(katikati)pia Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA),pamoja na Viongozi wengine wa Chuo hicho wakiwa katika picha ya pamoja na wanataaluma waliohitimu fani mbali mbali,baada ya
kutunukiwa Vyeti,Shahada na Stashahada,katika mahfali ya nane yaliyofanyika leo katika kampasi ya Tunguu.

Picha zote na Ramadhan Othman, Ikulu

Imewekwa na MAPARA at 3:35 PM
 
[h=3]Mahafali ya nane ya Suza[/h]

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad akisalimiana na Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Cha Taifa Zanzibar Prof. Idrissa Ahmada Rai, wakati wa mahafali ya nane ya Chuo hicho yaliyofanyika Kampasi mpya ya Chuo hicho iliyoko Tunguu. Katikati ni Mwenyekiti wa bodi ya Chuo hicho Mzee Nassor Hassan Moyo.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad akiongozana na Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Cha Taifa Zanzibar Prof. Idrissa Ahmada Rai, wakati wa mahafali ya nane ya Chuo hicho yaliyofanyika Kampasi mpya ya Chuo hicho iliyoko Tunguu. Katikati ni Mwenyekiti wa bodi ya Chuo hicho Mzee Nassor Hassan Moyo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohd Shein ambaye pia ni Mkuu wa Chuo Kikuu Cha Taifa Zanzibar, pamoja na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad wakifurahia jambo katika hafla ya mahafali ya nane ya Chuo hicho yaliyofanyika Kampasi mpya ya Chuo hicho iliyoko Tunguu.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohd Shein (katikati), akiwa katika picha ya pamoja na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad pamoja na viongozi mbali mbali wa Chuo na Serikali wakati wa mahafali ya nane ya Chuo hicho yaliyofanyika Kampasi mpya ya Chuo hicho iliyoko Tunguu. (Picha, Salmin Said, OMKR).

Imewekwa na MAPARA at 2:47 PM
 
Back
Top Bottom