Mahakama 52 Zaunganishwa na Mkonga wa Taifa wa Mawasiliano

Mahakama 52 Zaunganishwa na Mkonga wa Taifa wa Mawasiliano

kibokomchapaji

Senior Member
Joined
Aug 18, 2017
Posts
165
Reaction score
307
Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) kimefanikiwa kuziunganisha mahakama 52 nchi nzima na Mkonga wa Taifa wa Mawasiliano.

Kitendo hicho kitasaidia urahisi wa mawasiliano miongoni mwa mahakama mbalimbali hivyo kuwezesha uhamishaji wa mafaili, Jambo litakalopunguza muda wa kufuatilia rufaa mbalimbali.

"Matumizi ya TEHAMA yatasaidia kuepusha upotevu wa mafaili, na muda wa kufuatilia rufaa kutoka mahakama moja hadi nyengine" anasema Mwanasheria Husein Hamid
 
Awamu ya tano inaacha alama Awamu isiyolala

Viva Magufuli
 
Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) kimefanikiwa kuziunganisha mahakama 52 nchi nzima na Mkonga wa Taifa wa Mawasiliano.

Kitendo hicho kitasaidia urahisi wa mawasiliano miongoni mwa mahakama mbalimbali hivyo kuwezesha uhamishaji wa mafaili, Jambo litakalopunguza muda wa kufuatilia rufaa mbalimbali.

"Matumizi ya TEHAMA yatasaidia kuepusha upotevu wa mafaili, na muda wa kufuatilia rufaa kutoka mahakama moja hadi nyengine" anasema Mwanasheria Husein Hamid
 
Back
Top Bottom