Mahakama Kuu imemteua Jaji Joachim Tiganga kutoka Kanda ya Mwanza kuendelea kusikiliza Kesi ya Ugaidi inayomkabili Mbowe na wenzake

Majaji wa awamu ya 5, wengi wao hawakuwa judges bali maafisa wa TISS. Hatuna uhakika na huyu lakini ni wa kutiliwa madhaka makubwa.
Kwani mtu kuwaTISS ndiyo kigezo cha kutokutenda haki?
 
Huyu Ni mtoto wa kada mtiifu wa CCM,mzaliwa wa mkoa waKagera wilaya ya muleba tarafa ya nshamba kata ya BIIRABO kijijji Cha Bugarama kitongiji Cha kyaibumba.tumtakie Kila heri katika jukumu zito alilopewa.

Huko mahakama kuu ni nani na nani walikaa na kukubaliana kuwa Jamaa anafaa kumalizia kesi hii, natafuta CV za wahusika zilizonyooka bado nipo gizani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…