johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mahakama kuu ya Kenya imeagiza Adani asiruhusiwe kufanya Shughuli yoyote nchini Kenya
Aidha hakuna PPP itakayoruhusiwa kwa sasa kwenye Shirika la Umeme wala Uwanja wa Ndege kwani Adani anaweza kurudi kwa jina lingine
Source: Citizen Tv
Aidha hakuna PPP itakayoruhusiwa kwa sasa kwenye Shirika la Umeme wala Uwanja wa Ndege kwani Adani anaweza kurudi kwa jina lingine
Source: Citizen Tv