Mahakama kuu ya Kenya yaamuru ADANI asijihusishe na Shughuli yoyote nchini humo! Tanzania tuna la kujifunza au Wao wajifunze kwetu?

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mahakama kuu ya Kenya imeagiza Adani asiruhusiwe kufanya Shughuli yoyote nchini Kenya

Aidha hakuna PPP itakayoruhusiwa kwa sasa kwenye Shirika la Umeme wala Uwanja wa Ndege kwani Adani anaweza kurudi kwa jina lingine

Source: Citizen Tv
 
Kwani huoni mama ulikuwa upigaji baada ya kudhulimiana ndiyo yanakija haya na wataona na mengine.
 
Mahakama kuu ya Kenya imeagiza Adani asiruhusiwe kufanya Shughuli yoyote nchini Kenya

Aidha hakuna PPP itakayoruhusiwa kwa sasa kwenye Shirika la Umeme wala Uwanja wa Ndege kwani Adani anaweza kurudi kwa jina lingine

Source: Citizen Tv
Tuliwaambia Hv, hawa mabwana mdogo akina David Kafulila walishakuwa tayari matumbili kamili ni waimba mapambio tu kichwani hakuna kitu.
 
Mahakama kuu ya Kenya imeagiza Adani asiruhusiwe kufanya Shughuli yoyote nchini Kenya

Aidha hakuna PPP itakayoruhusiwa kwa sasa kwenye Shirika la Umeme wala Uwanja wa Ndege kwani Adani anaweza kurudi kwa jina lingine

Source: Citizen Tv
Huku mahakama ziko mfukoni mwa Kafulila
 
Watanganyika ni wachumia tumbo na wengi wat ni wajuaji" wa Simba na Yanga tu. Mjuaji hajifunzi kwa kuwa hajui kuwa hajui. Angalau Wazanzibari wanawatawala....
 
Hii ni mahakama isiyopelekeshwa ovyo ovyo na simu kutoka juu. Bongo bado wanasubiri mpaka balozi za nje zitoe waraka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…