Ulaya, Canada, Marekani, hurusiwi kufanya biashara hata ya ku kuimba taarabu na ku dance nchini mwao iwapo huko unakotoka umechafuka kwa ku repu watu, umeiba umekimbilia kwao, umeuza mi skanska na mihardati, umehonga mapolisi na mawaziri na mahakama za kwenu..... HUINGIII KUPELEKA uchafu wako kwao na biashara zako chafu kwao!
Mambo ya wazungu haya, Kenya wanajitahidi sana masikini ya Mungu, kuiga iga wanapoweza. Sisi ndio tunawaangusha.