Rula ya Mafisadi
JF-Expert Member
- Dec 28, 2024
- 404
- 852
BREAKING NEWS NJOMBE.
George Sanga na Wenzake wawili waliokuwa wanatuhumiwa kwa kesi ya mauaji wamechiwa huru na Mahakama.
Mungu ametenda haki imeshinda
George sanga na wenza wameachiwa huru Mahakama Kuu - Njombe
Wakili Dickson Matata, Joseph Mbilinyi wazungumza
Njombe. Mahakama Kuu Kanda ya Iringa imewaachia huru makada watatu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) waliokuwa wameshitakiwa kwa tuhuma za mauaji ya kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM).
Pia soma: Njombe: Viongozi wa CHADEMA pamoja na dalali wa mbao wakamatwa kwa kuhusishwa na mauaji ya Kada wa CCM Emmanuel Mlelwa
Makada walioachiliwa huru ni George Sanga, Gudluck Mfuse na Octatus Mkwela, ambao kwa pamoja walikuwa wakituhumiwa kwa mauaji ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) kwa vyuo vikuu Mkoa wa Iringa, Emmanuel Mlelwa.
Katika kesi Na.52 ya mwaka 2024, washitakiwa hao walikuwa wakitumiwa kutenda kosa hilo walilodaiwa kulifanya mwaka 2020.
George Sanga na Wenzake wawili waliokuwa wanatuhumiwa kwa kesi ya mauaji wamechiwa huru na Mahakama.
Mungu ametenda haki imeshinda
George sanga na wenza wameachiwa huru Mahakama Kuu - Njombe
Wakili Dickson Matata, Joseph Mbilinyi wazungumza
Njombe. Mahakama Kuu Kanda ya Iringa imewaachia huru makada watatu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) waliokuwa wameshitakiwa kwa tuhuma za mauaji ya kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM).
Pia soma: Njombe: Viongozi wa CHADEMA pamoja na dalali wa mbao wakamatwa kwa kuhusishwa na mauaji ya Kada wa CCM Emmanuel Mlelwa
Makada walioachiliwa huru ni George Sanga, Gudluck Mfuse na Octatus Mkwela, ambao kwa pamoja walikuwa wakituhumiwa kwa mauaji ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) kwa vyuo vikuu Mkoa wa Iringa, Emmanuel Mlelwa.
Katika kesi Na.52 ya mwaka 2024, washitakiwa hao walikuwa wakitumiwa kutenda kosa hilo walilodaiwa kulifanya mwaka 2020.