Young Philosopher
Member
- Apr 10, 2012
- 33
- 2
Msaada wa kisheria: Endapo wanandoa wameoana kwa zaidi ya miaka mitano hawana mtoto.Na wamefunga ndoa ya kiserikali. Katika ndoa yao kukawa na mgogoro wa muda mrefu uliopelekea kufikishana mahakamani na kisha mahakama kuwatenganisha kwa muda usiojulikana. Na ndoa ikaonekana iko beyond repair. Je muda gani wanandoa wanaweza peana talaka baada ya kutenganishwa kwa muda. Na je sheria inasemaje endapo mmoja wa wanandoa hao ataamua kuoa ama kuolewa katika kipindi hicho.