Rweye
JF-Expert Member
- Mar 16, 2011
- 17,057
- 7,611
Kinachoonekana mbali ya kuwemo na mambo kibao ambayo yanakatazwa katika sheria ya uchaguzi ya 2010 naona sasa suala la matusi ndo limeonekana liwe msingi wa kesi dhidi ya CDM,lakini tuulize hivi... Mbona hatuoni kesi za rushwa ijapokuwa ukweli ni kwamba takribani wabunge 70% wa CCM walipita kwa kutoa rushwa?
Ama rushwa imeondolewa katika sheria hile na si sehemu ya maadili ya uchaguzi tena?
Nasema hivi kwasababu ukiangalia orodha ya mashitaka kwenye kesi ya kupinga ushindi Ubungo tayari kuna kipengele kinachodai JJ alimtukana Nghumbi
Ndugu zetu NEC,kipengele cha rushwa mmekitoa ama mnataka tuamini sheria hili ni ya matusi tu?
Ama rushwa imeondolewa katika sheria hile na si sehemu ya maadili ya uchaguzi tena?
Nasema hivi kwasababu ukiangalia orodha ya mashitaka kwenye kesi ya kupinga ushindi Ubungo tayari kuna kipengele kinachodai JJ alimtukana Nghumbi
Ndugu zetu NEC,kipengele cha rushwa mmekitoa ama mnataka tuamini sheria hili ni ya matusi tu?