Mahakama na migogoro ya vyama na wanachama wake.

Mahakama na migogoro ya vyama na wanachama wake.

andrew tezie

Member
Joined
Jan 25, 2014
Posts
13
Reaction score
2
Nashindwa kuelewa ni kwa nini mahakama zinapokea migogoro ya vyama na wanachama wake.Mfano imetokea kutokuelewana kati ya mwanachama na uongozi wa chama,na chama kikiwa na katiba yake lakini mwanachama anapeleka tatizo mahakamani ikiwa vyama vyenyewe vina vikao vyake na vina katiba au miongozo yao,ni kwa nini matatizo haya mahakama zisiyaache yakatatuliwa na vyama vyenyewe kwa mujibu wa katiba zao?
 
Ipo siku wacheza mpira nao watakimbilia mahakamani kuzuia mechi wakihisi hawatopangwa kucheza!
 
Back
Top Bottom