HAKI KWA WOTE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2022
- 1,108
- 1,132
Nachelea kusema hivyo kwa kuona kabisa mahakamani ni wanafiki wanaposikiloza kesi za wananchi wakati huohuo wamawasimamisha watumishi wao kwa kipindi kirefu pasipo kutoa maamuzi juu ya tuhuma zinazowakabiri.