Raelish
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 489
- 162
Habarini ndugu zangu waislamu
Nawapenda kwa kuwa wote tumewekwa hapa duniani na Mungu mmoja,maana kuna Mungu mmoja tu mwenye uwezo wa kuumba binadamu. Kule jukwaa la siasa nimeona kuna maada inasema kuhusu uwepo wa mahakama ya kadhi kwenye katiba,wengi wamecomment walivyoona lakn mimi nina maswali kuhusu hii mahakama ya kadhi ili niielewe ndipo nijue nachangia nini.
Kwanza, naomba kujua mahakama ya kazi ni nini? pili,je ina umuhimu gani wa lazima kwa muislamu,je ni dhambi kwa muislam kuishi bila mahakama hii? Tatu,je ni sahihi na kuna umuhimu wowt wa kuingizwa kwenye katiba ambayo itatumika na watanzania wote,wenye dini na wasiokuwa na dini? Nne,je mahakama hii itawahukumu waislamu peke yao,na kama hivyo waislamu hawataruhusiwa kuhukumiwa kwenye mahakama zingine(za kawaida)? Mwisho,wale wasio waislamu haitawahusu kwa namna yoyote ile?
Tafadhali ustaarabu unatakiwa hakuna sababu ya msomi kama wewe kutukana,au kukukashifu imani ya mwenzako. KARIBUN ndugu zangu. "kwa pamoja tujenge nchi yetu,ubaguz mwiko"
Nawapenda kwa kuwa wote tumewekwa hapa duniani na Mungu mmoja,maana kuna Mungu mmoja tu mwenye uwezo wa kuumba binadamu. Kule jukwaa la siasa nimeona kuna maada inasema kuhusu uwepo wa mahakama ya kadhi kwenye katiba,wengi wamecomment walivyoona lakn mimi nina maswali kuhusu hii mahakama ya kadhi ili niielewe ndipo nijue nachangia nini.
Kwanza, naomba kujua mahakama ya kazi ni nini? pili,je ina umuhimu gani wa lazima kwa muislamu,je ni dhambi kwa muislam kuishi bila mahakama hii? Tatu,je ni sahihi na kuna umuhimu wowt wa kuingizwa kwenye katiba ambayo itatumika na watanzania wote,wenye dini na wasiokuwa na dini? Nne,je mahakama hii itawahukumu waislamu peke yao,na kama hivyo waislamu hawataruhusiwa kuhukumiwa kwenye mahakama zingine(za kawaida)? Mwisho,wale wasio waislamu haitawahusu kwa namna yoyote ile?
Tafadhali ustaarabu unatakiwa hakuna sababu ya msomi kama wewe kutukana,au kukukashifu imani ya mwenzako. KARIBUN ndugu zangu. "kwa pamoja tujenge nchi yetu,ubaguz mwiko"