Mahakama ya KADHI kwenye katiba ya Kenya

Game Theory

JF-Expert Member
Joined
Sep 5, 2006
Posts
8,546
Reaction score
855



HAYA NDIO YALIYOKUWA YANATOKEA KULE KENYA WAKATI WANAJADILI KATIBA YAO...ISHU YA KADHI COURTS
 



HAYA NDIO YALIYOKUWA YANATOKEA KULE KENYA WAKATI WANAJADILI KATIBA YAO...ISHU YA KADHI COURTS
Halafu mwisho wake??? Je imeshawafanyia dhara yoyote? Msitake kujilinganisha na Wakenya, wametuzidi mbali sana kiutashi na kiutendaji. sisi tumebakia kuiga tu tena mbaya zaidi tunaiga upuuzi huku ya maana tukiyaacha kwa kujisahaulisha na kutafuta sifa tusizokuwa nazo!! Ukiitazama vizuri karagosi hiyo utapata picha halisi ni kina nani walikuwa wanaipinga!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…