Mahakama ya kadhi na katiba mpya

Mahakama ya kadhi na katiba mpya

Mussa Mussa

Senior Member
Joined
Jan 10, 2012
Posts
138
Reaction score
42
Naomba niseme wazi kuwa mimi ni mkristo, ila nimesikia kuwa mpaka sasa mikoa iliyomingi imekubali mahakama ya kadhi kuingizwa kwenye katiba mpya kasoro Mbeya na Arusha, sasa naomba tujadili kwa pamoja bila kujali wewe ni mkristo au muislaam ni vema jambo hili kuingizwa kwenye mfumo wa selikali wakati selikali haina dini, hatuoni kama tutaanzisha migogoro isiyo na maana. I

Itakuwaje ikiwa na wakristo watakuja na kusema nao wanamahakama yao? Lijadili kama lilivyo usiulize source chukulia ndivyo ulivyo. Mimi siungi mkono hilo swala. AHSANTE "Mussa Mussa"
 
Naomba niseme wazi kuwa mimi ni mkristo, ila nimesikia kuwa mpaka sasa mikoa iliyomingi imekubali mahakama ya kadhi kuingizwa kwenye katiba mpya kasoro Mbeya na Arusha, sasa naomba tujadili kwa pamoja bila kujali wewe ni mkristo au muislaam ni vema jambo hili kuingizwa kwenye mfumo wa selikali wakati selikali haina dini, hatuoni kama tutaanzisha migogoro isiyo na maana. Itakuwaje ikiwa na wakristo watakuja na kusema nao wanamahakama yao? Lijadili kama lilivyo usiulize source chukulia ndivyo ulivyo. Mimi siungi mkono hilo swala. AHSANTE "Mussa Mussa"

Wakristo nao wapewe mahakama zao wakitaka. Wasi wasi wangu sijui watakuwa wanatumia sheria zipi kuhukumiana kwenye maswala kama mirathi na ndoa maana biblia haina sheria specific ktk maswala hayo!
 
Nina wasiwasi na takwimu zako, sitegemei mkoa wa mara ukubali mahakama ya kadhi kwa ujumla wake. Hili linawezekana kwenye mikoa yenye waislamu wengi.
 
Una lako jambo wewe! Hakuna mtu aliyewahi kupinga kuwepo kwa mahakama ya kadhi! Hivi sasa mahakama hii ipo na inafanya kazi kwa taarifa yako!
 
Kwani kuna kura za maoni zilikuwa zinapita kimkoa?
 
Wakristo nao wapewe mahakama zao wakitaka. Wasi wasi wangu sijui watakuwa wanatumia sheria zipi kuhukumiana kwenye maswala kama mirathi na ndoa maana biblia haina sheria specific ktk maswala hayo!
Wakristu huwa hawana utaratibu wa kutaka vitu kwa vile tu asiye mkristu kapewa... Big no... Waislamu ndiyo mara zote reasoning zao zipo kwenye mbona fulani hivi au vile. Wakristu wao reasoning zao zipopo kwenye kwenye uhalali au uhalisia wa jambo lenye. Kuna mambo hayahitaji kupigiwa kura kwa sababu ya unyeti wake. Kwa mfano, katika watu kumi ukiwauliza juu ya kuhalalisha ujambazi kwenye katiba mpya, kama katika hao kumi nane ni majambazi, lazima wahalalishe ujambazi. Hivyo basi the same katika suala la mahakama ya kadhi. Inatupasa tuamue kwa kutazama hasara na faida zake na si nani anataka na nani hataki. ..... Kwa mwendo huu wa kuamua jambo kwa kuangalia nani anataka na nani hataki, kuna siku tutabinafsisha magereza... By JK Nyerere .... Na tutalipia kufungwa huko... By Ngalikihinja
 
Wakristu huwa hawana utaratibu wa kutaka vitu kwa vile tu asiye mkristu kapewa... Big no... Waislamu ndiyo mara zote reasoning zao zipo kwenye mbona fulani hivi au vile. Wakristu wao reasoning zao zipopo kwenye kwenye uhalali au uhalisia wa jambo lenye. Kuna mambo hayahitaji kupigiwa kura kwa sababu ya unyeti wake. Kwa mfano, katika watu kumi ukiwauliza juu ya kuhalalisha ujambazi kwenye katiba mpya, kama katika hao kumi nane ni majambazi, lazima wahalalishe ujambazi. Hivyo basi the same katika suala la mahakama ya kadhi. Inatupasa tuamue kwa kutazama hasara na faida zake na si nani anataka na nani hataki. ..... Kwa mwendo huu wa kuamua jambo kwa kuangalia nani anataka na nani hataki, kuna siku tutabinafsisha magereza... By JK Nyerere .... Na tutalipia kufungwa huko... By Ngalikihinja

Umenena vyema mkuu...ukweli ni kwamba wakristo hawana mambo ya kulaumu na kujilinganisha na mwenzao kwa mbona waislamu wana hiki na kile...waislamu tu ndo wana penda comparison zisizokuwa na msingi
 
Una lako jambo wewe! Hakuna mtu aliyewahi kupinga kuwepo kwa mahakama ya kadhi! Hivi sasa mahakama hii ipo na inafanya kazi kwa taarifa yako!

Pole mkuu inafanya kazi kiselikali au kidini. Ninajua inafanyakazi lakini siyo kiselikali. Think before...................
 
Pole mkuu inafanya kazi kiselikali au kidini. Ninajua inafanyakazi lakini siyo kiselikali. Think before...................
Mambo ya kidini lazima yafanye kazi kidini na siyo kiserikali. Serikali inatoa idhini tu! Think twice..........!
 
Back
Top Bottom