Mahakama ya kadhi yatinga bungeni tena leo

Mahakama ya kadhi yatinga bungeni tena leo

Gama

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2010
Posts
13,265
Reaction score
4,735
Naangalia kipindi cha bunge saa hii na kuna mbunge anachangia. Anataka mahakama ya kadhi ilejeshwe. Utetezi wake ni kuwa mbona majirani zetu Kenya wanayo?, utetezi mwingine ni kuwa, kama imewezekana kwa kenya na India ambako waislam hawazidi asilimia 16 kwa nini haiwezekani Tanzania ambako waislam ni zaidi ya asilimia 65
 
Naangalia kipindi cha bunge saa hii na kuna mbunge anachangia. Anataka mahakama ya kadhi ilejeshwe. Utetezi wake ni kuwa mbona majirani zetu Kenya wanayo?, utetezi mwingine ni kuwa, kama imewezekana kwa kenya na India ambako waislam hawazidi asilimia 16 kwa nini haiwezekani Tanzania ambako waislam ni zaidi ya asilimia 65


hvi tuna kipengele cha dini kwenye sensa eeh...:argue:
 
Back
Top Bottom