Mahakama ya katiba ianzishwe Tanzania

Mahakama ya katiba ianzishwe Tanzania

Hismastersvoice

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2013
Posts
21,741
Reaction score
26,735
Tanzania nchini ya mfumo wa vyama vingi tunahitaji tuwe na mahakama ya katiba itakayosimamia utekelezaji wa katiba nchini.

Siku hizi ni kawaida sana kila viongozi kujiamulia jambo lolote kulifanya nje ya katiba ya nchi bila hatua zozote za kisheria kuchukuliwa! Ni kwamba katiba ya nchi imepumzishwa.
 
Back
Top Bottom