Alykhan
New Member
- Aug 30, 2018
- 1
- 1
Wananchi mimi ni mtanzania mwema shida yangu ilikuwa nili apply kufungua mirathi ya marehemu baba yangu akiwa amefariki kisutu ILALA nika elezwa kuwa niende mahakama ya Kinyerezi nikaenda baada ya kupeleka application yangu Monday ya 15/7 jibu nikapewa tahere 16/7 kuwa application yangu haijakubaliwa due to our parents and we are Muslim
Now my question is mahakama imewekwa kwa kusikiliswa kero ya wananchi na kupata muongozo sio kimila kusema kuwa Sisi waislamu hatuwezi kupata msaada yeyote je nahitaji msaada na muongozo what next step should I take.
Now my question is mahakama imewekwa kwa kusikiliswa kero ya wananchi na kupata muongozo sio kimila kusema kuwa Sisi waislamu hatuwezi kupata msaada yeyote je nahitaji msaada na muongozo what next step should I take.