Amavubi JF-Expert Member Joined Dec 9, 2010 Posts 30,156 Reaction score 13,258 Jun 10, 2016 #1 Nikiwa napongeza wazo la kuwa na Mahakama ya Mafisadi najiuliza itafiti kwenye Muundo Upi katika Muundo wa Mahakama tulizo nazo Kikatiba?
Nikiwa napongeza wazo la kuwa na Mahakama ya Mafisadi najiuliza itafiti kwenye Muundo Upi katika Muundo wa Mahakama tulizo nazo Kikatiba?
Michael Inkana Member Joined Jun 11, 2016 Posts 5 Reaction score 2 Jun 11, 2016 #2 Amavubi said: Nikiwa napongeza wazo la kuwa na Mahakama ya Mafisadi najiuliza itafiti kwenye Muundo Upi katika Muundo wa Mahakama tulizo nazo Kikatiba? Click to expand...
Amavubi said: Nikiwa napongeza wazo la kuwa na Mahakama ya Mafisadi najiuliza itafiti kwenye Muundo Upi katika Muundo wa Mahakama tulizo nazo Kikatiba? Click to expand...
Amavubi JF-Expert Member Joined Dec 9, 2010 Posts 30,156 Reaction score 13,258 Jun 11, 2016 Thread starter #3 jamii forums said: Click to expand... pica haifunguki
Determinantor Platinum Member Joined Mar 17, 2008 Posts 59,045 Reaction score 94,974 Jun 11, 2016 #4 Haifunguki
Amavubi JF-Expert Member Joined Dec 9, 2010 Posts 30,156 Reaction score 13,258 Jun 11, 2016 Thread starter #5 Elli said: Haifunguki Click to expand... sidhani kama hii picha itasaidia hoja lakn wacha mtumaji aje atusaidie Elli
Elli said: Haifunguki Click to expand... sidhani kama hii picha itasaidia hoja lakn wacha mtumaji aje atusaidie Elli
L lawyer2 JF-Expert Member Joined Dec 31, 2015 Posts 224 Reaction score 67 Jun 12, 2016 #6 sidhani kama kuna umuhimu katiba kuanzisha au kuwa na article yake...hii itakua mchepuko wa Mahakama kuu kama ilivyo Land..labour na commercial divisions of the high Court
sidhani kama kuna umuhimu katiba kuanzisha au kuwa na article yake...hii itakua mchepuko wa Mahakama kuu kama ilivyo Land..labour na commercial divisions of the high Court
Jaji Mfawidhi JF-Expert Member Joined Feb 20, 2016 Posts 15,835 Reaction score 23,776 Jun 16, 2016 #7 Hii mahakama ya mafisadi imeshajengwa Kigamboni,ni division of high Court, Jurisdiction yake itaanza na 1 billion,below that you go to Normal Court . Judges watakuwa watatu. Mwezi wa saba tar 1 inaanza. Tukae mkao wa kula
Hii mahakama ya mafisadi imeshajengwa Kigamboni,ni division of high Court, Jurisdiction yake itaanza na 1 billion,below that you go to Normal Court . Judges watakuwa watatu. Mwezi wa saba tar 1 inaanza. Tukae mkao wa kula
jingalao JF-Expert Member Joined Oct 12, 2011 Posts 36,197 Reaction score 29,717 Jun 16, 2016 #8 Hoja yako ilitakiwa iwasilishwe kipindi cha kampeni