Mahakama ya Rufaa: Ukishindwa uchaguzi, shitaki mwenyewe

All in all, aibu ya CCM kushindwa mahakamani katika kesi hii ni ndogo kuliko aibu ambayo ingetokana na ushindi wa kishindo wa Chadema iwapo uchaguzi mdogo ungeitishwa. Kuelekea 2015, political liability kwa CCM kitaifa ambayo ingeandamana na kupoteza jimbo husika katika uchaguzi mdogo ingekuwa ni kubwa zaidi kuliko hii ya sasa ya kushindwa kwenye kesi ya rufaa; Vinginevyo sioni CCM kurudisha majimbo yote ya mijini nchi nzima, na itazidi kuyapoteza mengi sana 2015; CCM relies on rural votes, chadema relies on urban votes, huku trend ya kidunia ni urbanization kuliko villagi zation; what an interesting ending for CCM;
 

Mkuu tena anatoka mtu ambaye ni hohe hahe hata pa kuishi kwake ni shida lakini anamudu gharama zote za kuendeshea kesi kumbe yupo kama kivuli kuna watu wanaojificha nyuma ya hicho kivuli
 

Yes, ina apply kwenye kesi zote za madai serve for cases with public interest.

Mahakama ya Rufaa imesema kuwa election petition is not a public interest litigation.

In my view same would have been hata kama kesi ingekuwa udanganyifu wa kura au idadi ya kura.

Tusi linaweza kuwa mtu binafsi au kwa umma wote. Refer yule aliyeikanyaga katiba.

Mahakama inaweza kuamua yapi ni matusi na yapi sio matusi kwenye kesi ya uchaguzi kulingana na sheria na ushahidi ulioletwa mahakamani.

kuhusu kuwa na mbunge aliyevunja kanuni za uchaguzi sio "public interest", inategema amevunja kanuni ya aina gani maana kuna kanuni nyingine ambazo zina-create a criminal offence which would automatically be regarded as a public interest issue.

Basically, kilichosemwa na Mahakama ya Rufaa leo kuwa kuruhusu wapiga kushtaki walioshinda chaguzi would "defeat the well established principle of law of locus standi"

Hii principle ya locus standi ni muhimu sana, otherwise kila mbunge anayeshinda atakuwa anafunguliwa kesi na wapiga kura ambao hawamtaki.

kwenye sheria za Nigeria huwa wanaruhusu mgombea au chama cha siasa kilichoshiriki kwenye uchaguzi huo kufungua kesi: LawPavilion Electronic Law Report (LPELR) - AWOYEMI RAFIU v. INEC & ORS
 
Mkuu tena anatoka mtu ambaye ni hohe hahe hata pa kuishi kwake ni shida lakini anamudu gharama zote za kuendeshea kesi kumbe yupo kama kivuli kuna watu wanaojificha nyuma ya hicho kivuli

I'm just wondering walioleta kesi mahakamani watalipaje gharama zote za kesi?
 

... relativity, quality and quantity ya AIBU!! ... good idea!!

Anyway, @ending of CCM bado ninaamini kuwa ...CCM inahitaji kuvunjika mapande mawaili. Which to me its not the Bad ending!! Kulko kwenye Votes!!
 

Kweli mtu yoyote anaweza kutoa maoni tofauti na yaliyomo kwenye kesi.

However, in law, this is a binding authority which must be followed by any court in subsequent cases, unless the legislature enacts a law to the contrary or the Court of Appeal overrules this decision on the basis that it was wrongly decided.

But from today, it is a rule of law that an election petition is not a public interest litigation.
 
Tfsiri ya nini ni public interest na nini sio public interest hapa..
ni kama sio sahihi....
wengine tunaona lolote linalohusu uhalali wa uchaguzi ni public interest....

Unachosema Boss mimi nakielewa kabisa na mwisho it all boils down to difference of opinion.
 


Ndugu Mchambuzi,
Utakumbuka huko nyuma nimepata kujadili kwa nawe kile kiitwacho ''voting behaviors of urban and rural population''..Na ulishilikia msimamo kuwa kwa opposition kushinda uchaguzi ni lazima iungwe mkono na urban population..Hukuona uwezekano wa urbani population kuchangia ushindi wa opposition mwaka 2015.Kwa kuwa tumepata tena fursa na ili kuweza kujadili kwa mapana hoja husika ningependa kupata definition yako ya ''a rural and an urban constituency'' kwa muktadha wa mada hii.
 

Be that as it may, I still think any issue relating to election petition is an issue of public interest.

I just don't see how an election petition cannot be of public interest.
 
Tfsiri ya nini ni public interest na nini sio public interest hapa..
ni kama sio sahihi....
wengine tunaona lolote linalohusu uhalali wa uchaguzi ni public interest....

Exactly. There is no meaning of public interest.

Hata gazeti la Mwanahalisi limefungiwa for public interest. lol.

Zipo sheria nyingi tuu ambazo zinampa madaraka rais au mawaziri kuwaachisha watu kazi for public interest.

Kwa hiyo, wakati akina Lissu wana argue that an election petition is not a public interest litigation, it was for the legal representative of the respondent to argue why they think it was.

Nonetheless, I agree with you that there no a consensus on what exactly constitutes a public interest.

I could even go a step further by arguing that the concept itself is not a coherent one.
 


FROM TODAY?
Na wewe unaunga mono sababu ni sheria au ni morally right?
 
Reactions: EMT
Hii kesi si tu ni upotevu wa fedha na muda, lakini pia inaibua maswali juu ya uwezo wa baadhi majaji hapa nchini. Kuna haja ya wadau wa huu mhimili mmojawapo wa dola kukaa chini na kutafuta namna ya kuondoa madoa kama hukumu iliyotolewa Arusha.

And unless suluhu ipatikane, i.e kupitia tena sifa, uwezo wa majaji, kesi nyingi zitakuwa zinaletwa kwenye Mahakama ya rufaa. Huku ni kupoteza muda na resources nyingine and infact inaleta maswali juu ya umuhimu uwepo wa mahakama za chini uko wapi wakati majaji hawana uwezo wa kutafsiri sheria?
 
Reactions: EMT
According to my Black's Law Dictionary, public interest is "an expression which indicates something in which the general public or the community at large has some pecuniary interest, or some interest by which their legal rights or liabilities are affected".
 
FROM TODAY?
Na wewe unaunga mono sababu ni sheria au ni morally right?

Yes, from today. It is not of a matter of whether or not kama naunga mkono hukumu.

I am just stating the law as it stands from today.

You may or you may not agree with reasoning of the judges.

Kama ungekuwa mwanasheria na akaja mpiga kura (siyo mgombea) anayetaka ushauri wa kisheria kama anaweza kumshtaki mbunge wake kwa kumtukana mgombea mwingine aliyeshindwa definitely utamshauri kwa mujibu wa sheria; not according to what you think the law should be.

That's is why we say the law can be an ass sometimes.
 
... relativity, quality and quantity ya AIBU!! ... good idea!!

Anyway, @ending of CCM bado ninaamini kuwa ...CCM inahitaji kuvunjika mapande mawaili. Which to me its not the Bad ending!! Kulko kwenye Votes!!

Nakubaliana na hoja yako kuhusu umuhimu wa CCM kumeguka, if not kupoteza kabisa uongozi wa nchi, kama njia ya uhakika ya kujijenga upya; Lakini katika suala hili la kuvunjika into two, agenda ya CCM B itakuwa ni nini? Ufisadi? Azimio la Arusha...? Na kina nani hao wenye uthubutu na pia upeo, mwono, na uwezo wenye tija?
 
Actually naandaa mjadala huo, nipe masaa machache nitauweka; nadhani humu si muktadha sahihi; vinginevyo nilicho maanisha katika mjadala wetu wakati ule ni kwamba kura za mjini pekee hazitoshi kuipa Chadema ushindi 2015;
 
Hivi kwenye mfumo wetu hakunaga dissenting opinion?

Ni lazima wote wawe na opinion sawa?

Manake kwenye hukumu ya leo nimeona wote kama vile wameiandika kwa pamoja hiyo hukumu.

Ingependeza sana kama kila mmoja wao angekuwa anaandika opinion yake....
 

naomba mtu aweke rulling yote hapa in a pdf or other downlodable format.....thanks guys
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…