Mahakama ya Uhujumu Uchumi: Mvutano mkali kesi ya Mbowe na wenzake. Hatma ya kesi kujulikana Septemba 6

wiki ijayo nikijaaliwa afya njema , nitaweka hadharani namba za akaunti mnazoingiziwa hela ndogo tsh elfu 7 kila wiki
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nmecheka kwa dharau!
 

Shukrani kwa kutoa citation nzuri ya rejea, matumaini ni kuwa mheshimiwa Jaji atatumia hekima na kuubali hoja nzito za upande wa utetezi. Hii imtafanya Jaji Luvanda naye kuingia katika kukumbuku za majaji walioweka precedent ya kutukuka kama Jaji Mwalusanya.

 
Hv ulikuwa ukiamin zle fix za mwendazake???
 
"lakini mawakili wa serikali wamekataa hivyo wao wanasema mkiwa na mawazo yanayofanana ni kikao tayari."

[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Mbowe ana mawazo yanayofanana na nani...?

Walijuaje kuwa wana mawazo ya kufanana? Wana kipimo cha kupimia mawazo ya kufanana...?

Kumbe hata sisi JF members humu tunaweza kuwa classified katika Makundi mawili au matatu kwa kigezo cha "kufanana kimawazo" na tukashitakiwa kwa ugaidi, au siyo wajameni...?

Duuh, nilikuwa sijui...
 
Acha mipasho. Kama huna la maana ni bora usome comments za wengine kuna jambo utajifunza. Magufuli is gone. Hatorudi tena mwache alale zake. Atajuana na Mungu wake huko aliko.
 
Mkuu shukrani sana tena sana kwa ufafanuzi wako. Wanye kutaka kujifunza wamepata points. Ubarikiwe sana Mkuu.
 
Ishu hapa Ni weledi na Independence of judge Luvanda. Otherwise, hii kitu iko wazi.
Kwa mfumo wa kisiasa na kiutawala Wa nchi yetu kwa sasa,inaweza kuwa ngumu sana kuitupilia mbali hii kesi katika hatua hii....

Nia na makusudi ya watesi wa Mbowe na CHADEMA, ni kumtesa tu na kumnyima uhuru wake for sometimes kama walivyojiapisha tangu awali...

Katika hatua hii, watu wanacheza na vifungu vya sheria tu. Jaji anayesikiliza shauri hili na watesi wa Mbowe ambao bila kumung'unya maneno ni CCM na serikali yao, lazima weekend hii watakuwa ktk kikao kizito kujadili ni kwa namna gani waindeleze dhamira yao ovu dhidi ya mtu huyu asiye na hatia kwa vipimo vyote hadi sasa...

Ni wazi kuwa mpaka sasa na ktk hatua hii, hati ya mashtaka ina makosa ya kisheria na kwa hiyo INAIBATILISHA KESI YOTE...

J'tatu Mbowe anaachiliwa (at least for simetimes) lakini atakamatwa na kufunguliwa mashtaka upya (obviously, la ugaidi litaondolewa na kugeuka (labda) kuwa jinai ya kawaida). Hii ni ili mradi tu shauri hili lifikie ngazi ya kusukilizwa kama kesi halisi na ili mradi tu ndg Freeman aendelee kukosa uhuru wake kwa muda wanaotaka wao...!

Na hii yote ni kwa sababu ya JUSTICE SYSTEM yetu kutokuwa strong & fair kutokana na mfumo wa utawala na kisiasa wa nchi yetu kuwa weak and unfair kwa kutengenezwa na kuzaliwa na katiba dhaifu/mbovu...

Kungekuwa na A VERY FIERCE & STRONG JUSTICE SYSTEM ambayo baadaye ungeilazimisha serikali kulipa fidia ya gharama kwa kumchafua mtu na kupoteza muda wa mtu kwa sababu ya hila za kisiasa tu, basi wasingefanya ujinga huu wafanyao sasa...!!
 
Subiri kwenye cross-examination ndio utafurahi kama jaji atafuata amri kutoka juu na kuendelea na kesi.
 
Mungu hutenda HAKI.
Mungu ni wa wote lakini ukiomba ya kishetani hakusikilizi wala hakutimizii.
 
Nalipwa na nani? Kwa ajili gani?

Siro: chadema wanamuona Mbowe malaika.
Bila CCM huwezi kuishi ,ndiyo maana unajitoa ufahamu kwa ajili ya CCM ,ndiyo maana unalaaniwa kwa sababu ya CCM ndiyo huna tofauti na balozi wa shetani kwa sababu ya CCM ndiyo maana uko tayari kwa lolote kwa sababu ya CCM
 
Kwa hiyo ndiyomaana mkaona mlete mashtaka mepesi ya kutunga mkajua upande wa utetezi utakua hauna mawakili wakuwa-challange nyie wabambika kesi?

Tutegemee mfumo wa jinai haki (criminal justice system) usiwe kama ule wa makaburu wa Afrika ya Kusini kabla ya ubaguzi kuisha, hapa Tanzania kuna ubaguzi na uonevu wa CCM dhidi ya waTanzania wengine mfano 'kukomoana' jinsi mashtaka dhidi ya Mbowe na wenzie walivyotayarishwa na mwenendo wa ofisi ya Mashtaka na mawakili wa serikali.

Lakini imani yetu ni kuwa mhimili wa Mahakama utatumia mzani wa haki ili kuondoa dhana ya kukomoana na haki kupatikana.


Historia ya mfumo jinai haki (criminal justice system) Alivyouona Nelson Mandela na wapinga ubaguzi wengine wasiojali rangi, walitiliia mashaka kama haki itatendeka :

HISTORIA YA AFRIKA YA KUSINI ENZI ZA UBAGUZI


Nelson Mandela International Day​

18 July​


Menu

© UN Photo/John Isaac

On Freedom​

"Black Man in a White Court"​

Nelson Mandela's First Court Statement - 1962​



  • Extracts from the court record of the trial of Mandela held in the Old Synagogue court, Pretoria, from 15 October to 7 November 1962. Mandela was accused on two counts, that of inciting persons to strike illegally (during the 1961 stay-at-home) and that of leaving the country without a valid passport. He conducted his own defence.
MANDELA:
Your Worship, before I plead to the charge, there are one or two points I would like to raise.
Firstly, Your Worship will recall that this matter was postponed last Monday at my request until today, to enable Counsel to make the arrangements to be available here today. Although Counsel is now available, after consultation with him and my attorneys, I have elected to conduct my own defence. Some time during the progress of these proceedings, I hope to be able to indicate that this case is a trial of the aspirations of the African people, and because of that I thought it proper to conduct my own defence. Nevertheless, I have decided to retain the services of Counsel, who will be here throughout these proceedings, and I also would like my attorney to be available in the course of these proceedings as well, but subject to that I will conduct my own defence.
The second point I would like to raise is an application which is addressed to Your Worship. Now at the outset, I want to make it perfectly clear that the remarks I am going to make are not addressed to Your Worship in his personal capacity, nor are they intended to reflect upon the integrity of the court. I hold Your Worship in high esteem and I do not for one single moment doubt your sense of fairness and justice. I must also mention that nothing I am going to raise in this application is intended to reflect against the Prosecutor in his personal capacity.
The point I wish to raise in my argument is based not on personal considerations, but on important questions that go beyond the scope of this present trial. I might also mention that in the course of this application I am frequently going to refer to the white man and the white people. I want at once to make it clear that I am no racialist, and I detest racialism, because I regard it as a barbaric thing, whether it comes from a black man or from a white man. The terminology that I am going to employ will be compelled on me by the nature of the application I am making.
I want to apply for Your Worship's recusal from this case. I challenge the right of this court to hear my case on two grounds.
Firstly, I challenge it because I fear that I will not be given a fair and proper trial. Secondly, I consider myself neither legally nor morally bound to obey laws made by a parliament in which I have no representation.
In a political trial such as this one, which involves a clash of the aspirations of the African people and those of whites, the country's courts, as presently constituted, cannot be impartial and fair.
In such cases, whites are interested parties. To have a white judicial officer presiding, however high his esteem, and however strong his sense of fairness and justice, is to make whites judges in their own case.
It is improper and against the elementary principles of justice to entrust whites with cases involving the denial by them of basic human rights to the African people.
What sort of justice is this that enables the aggrieved to sit in judgement over those against whom they have laid a charge?
A judiciary controlled entirely by whites and enforcing laws enacted by a white parliament in which Africans have no representation - laws which in most cases are passed in the face of unanimous opposition from Africans -

MAGISTRATE:
I am wondering whether I shouldn't interfere with you at this stage, Mr Mandela. Aren't we going beyond the scope of the proceedings? After all is said and done, there is only one court today and that is the White Man's court. There is no other court. What purpose does it serve you to make an application when there is only one court, as you know yourself. What court do you wish to be tried by?

MANDELA:
Well, Your Worship, firstly I would like Your Worship to bear in mind that in a series of cases our courts have laid it down that the right of a litigant to ask for a recusal of a judicial officer is an extremely important right, which must be given full protection by the court, as long as that right is exercised honestly. Now I honestly have apprehensions, as I am going to demonstrate just now, that this unfair discrimination throughout my life has been responsible for very grave injustices, and I am going to contend that that race discrimination which outside this court has been responsible for all my troubles, I fear in this court is going to do me the same injustice. Now Your Worship may disagree with that, but Your Worship is perfectly entitled, in fact, obliged to listen to me and because of that I feel that Your Worship-

MAGISTRATE:
I would like to listen, but I would like you to give me the grounds for your application for me to recuse myself.

MANDELA:
Well, these are the grounds, I am developing them, sir. If Your Worship will give me time -

MAGISTRATE:
I don't wish to go out of the scope of the proceedings

happy to do so? READ MORE : Nelson Mandela's First Court Statement - 1962


 
lazima weekend hii watakuwa ktk kikao kizito kujadili ni kwa namna gani waindeleze dhamira yao ovu dhidi ya mtu huyu asiye na hatia kwa vipimo vyote hadi sasa...
Exactly, nia ovu yao lazima waitimize, hawawezi kuacha hivi hivi, labda Samia wamwambie kuwa achana na hii kitu inakufedhehesha. Nani wa kumwambia hivyo?
 
'terrorist intentions' - yaani husemi maneno yanamaanisha nini - then utawezaje kusema kulikuwa na 'terrorist intetions'? Yaani kama hakuna maana ya kuwa nia ovu, utajuaje kuwa x ana nia ovu na utaanzia wapi?
Uko sahihi kabisa. Nadhani lazima kuwe na ingredients za terrorist intention halafu ndiyo utapta kuona kama ingredients hizo zimekuwa manifested katika shitaka hilo, short of that umefeli. Mshitakiwa hawezi ku mount defence kwa kitu ambacho hakiko defined in terms of its ingredients
 
Exactly, nia ovu yao lazima waitimize, hawawezi kuacha hivi hivi, labda Samia wamwambie kuwa achana na hii kitu inakufedhehesha. Nani wa kumwambia hivyo?
Jambo analofanya Samia ni kuacha system ifanye kazi bila kuingiliwa na yeyote, tatizo sasa hao waongoza system wetu ni majanga matupuu. Mwisho wa siku tunajikuta Rais akiwa mkali ni shida, akiwa mpole ni shida pia
 
Pole sana Katiba Mpya yahitajika ili kukutibu na kulitibu TAIFA letu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…