Hapa kwetu serikali imeanza kufuata ushauri wa kina Mbowe, Lisu, Zito na magenge yao ambao waliitaka serikali iwaweke wananchi wake kwenye lockdown, ili kuzuia maambukizi ya uviko 19 kuenea zaidi. Serikali hii sikivu imeanza kufuata ushauri na matakwa ya viongozi hao wa upinzani kwa kuanza na hatua ya kwanza ya kuzuia mikusanyiko ya watu ktk mikutano mbali mbali hapa nchini.