Mahakama kuu yamlejesha Michael Richard wambula kwenye nafasi zake, yaani umakamu wa Rais pamoja na uenyekiti wa MKOA wa Mara, maana yake ni kuwa Nyamalani anapoteza sifa za kaimu makamu wa Rais wa TFF
[emoji23][emoji23] Akilimali yule hajawahi zeeka banaWambura akizeeka atakua kama Mzee Akilimali [emoji23][emoji23] jamaa mbishi kinoma yaani ni ngumu kumng'oa aking'ang'ania kitu.
List imekamilika, mikia tff ya mikiaMahakama kuu yamlejesha Michael Richard wambula kwenye nafasi zake, yaani umakamu wa Rais pamoja na uenyekiti wa MKOA wa Mara, maana yake ni kuwa Nyamalani anapoteza sifa za kaimu makamu wa Rais wa TFF
mahakama kuu? kwa hiyo rungu la FIFA ndiyo litaishukia TFF kwa kuruhusu mpira uingizwe kwenye kizimba?Mahakama kuu yamlejesha Michael Richard wambula kwenye nafasi zake, yaani umakamu wa Rais pamoja na uenyekiti wa MKOA wa Mara, maana yake ni kuwa Nyamalani anapoteza sifa za kaimu makamu wa Rais wa TFF
wambura anapenda uongozi duh sijapata ona!Mahakama kuu yamlejesha Michael Richard wambula kwenye nafasi zake, yaani umakamu wa Rais pamoja na uenyekiti wa MKOA wa Mara, maana yake ni kuwa Nyamalani anapoteza sifa za kaimu makamu wa Rais wa TFF
sio mara ya kwanza wambura kwenda mahakamani........Lakini Wenye Mamlaka Ya Kumrudisha Madarakani Wambura si ni CAS Pekee Na Sio Mahakama za Jamhuri ya Muungano wa Tz?
mwenzake mwina kaduguka alishachemsha haya mambo pale simbaWambura akizeeka atakua kama Mzee Akilimali [emoji23][emoji23] jamaa mbishi kinoma yaani ni ngumu kumng'oa aking'ang'ania kitu.