johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Katiba Mpya πYamekuwa hayo tena!
Ile sinema yetu wabunge 19 miaka 5 sasaImeisha hiyo
Tanzania tujipange Sawa Sawa Kukamata fursa za kiuchumi wakati jirani wakiwa wamejikita kwenye siasa za ndani
Mahakama yasema Prof Kindiki aapishwe kuwa Naibu Rais badala ya Gachagua
Ahsanteni Sana π
Ile Mbowe akisema suu hata sasa hivi wanaondolewa!Ile sinema yetu wabunge 19 miaka 5 sasa
Haiwezekaniii kuna pesa mingi sana demokrasia wataikosaaaaaIle Mbowe akisema suu hata sasa hivi wanaondolewa!
Na ibaki hivyo!Haiwezekaniii kuna pesa mingi sana demokrasia wataikosaaaaa
Kwa nini unajitutumua na Kiingereza cha ugagagigikoko?Kenyan they are very Smart!