Perry JF-Expert Member Joined Feb 24, 2011 Posts 10,058 Reaction score 2,195 May 8, 2012 #21 I feel sorry for this young lady!!
Mamndenyi JF-Expert Member Joined Apr 11, 2011 Posts 43,242 Reaction score 60,939 May 9, 2012 #22 Wazee ndo tuna uchungu kuliko hata hawa watoto zetu wanaozaa sasa, uchungu wa kuzaa hausahauliki hata utakapokufa. BAGAH said: Mamndenyi chango la uzazi?...kumbe na ww mkongwe eeh?au ndo zile mimba za utotoni... Click to expand...
Wazee ndo tuna uchungu kuliko hata hawa watoto zetu wanaozaa sasa, uchungu wa kuzaa hausahauliki hata utakapokufa. BAGAH said: Mamndenyi chango la uzazi?...kumbe na ww mkongwe eeh?au ndo zile mimba za utotoni... Click to expand...
Idimi JF-Expert Member Joined Mar 18, 2007 Posts 15,328 Reaction score 11,192 May 9, 2012 #23 cacico said: unaongelea serikali hii ya magamba, au ijayo 2015 chini ya gwanda!??? kama ni hii utasubiri sanaaaaaa, wakubwa wenyewe ndio walikuwa wanamega, sasa unategemea nini??? Click to expand... Hilo nalo neno
cacico said: unaongelea serikali hii ya magamba, au ijayo 2015 chini ya gwanda!??? kama ni hii utasubiri sanaaaaaa, wakubwa wenyewe ndio walikuwa wanamega, sasa unategemea nini??? Click to expand... Hilo nalo neno
Mamndenyi JF-Expert Member Joined Apr 11, 2011 Posts 43,242 Reaction score 60,939 May 22, 2012 #24 Naomba updates za kesi ya huyu dogo wakuu.