Urio kimiroI
Senior Member
- Jan 2, 2016
- 146
- 74
[HASHTAG]#Habari[/HASHTAG]: Mahakama ya Kisutu yamkuta na kesi ya kujibu Said Kubenea(Mb) wa Ubungo kwa kosa la kumtolea lugha chafu Dc-Paul Makonda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kitu ambacho hakiwezekani.kwa nchi yetu ilipofikia ni kwamba ccm inataka kuteka kila sekta....
Wewe kunamjinga zaidi ya kubenea!!!Ndio vizuri kwani sasa Kubenea atapata nafasi ya kueleza kwa ufasaha kuwa huyo jamaa ni mjinga na kuwa cheo alipata kwa kujikomba. Na ule ushahidi wa picha akifunga viatu vya mtoto wa mgawa vyeo utatolewa mahakamani na ukikataliwa itabidi tuupeleke kwa wataalamu wamtambue
Msiishi kwa kukalilikwa nchi yetu ilipofikia ni kwamba ccm inataka kuteka kila sekta....
Soma tena wewe mwenyewe kama utaelewa umeandika nini. Una tatizo gani? Tafuta tibaWewe kunamjinga zaidi ya kubenea!!!
Ninyi mlikuwa mkiona kama Makonda kakurupuka tu
Kumbe MNA kichaa anae Jivunia VILAZA
Wakati huo huo Jamhuri ilikuwa na Mashaidi watatu na pia haikuwa na nia ya kuendelea na kesi[HASHTAG]#Habari[/HASHTAG]: Mahakama ya Kisutu yamkuta na kesi ya kujibu Said Kubenea(Mb) wa Ubungo kwa kosa la kumtolea lugha chafu Dc-Paul Makonda.
Kukalili ndio nini?Msiishi kwa kukalili
Kila siku nyie tu
Hahaha wanaogopa ukweli itafika nje.Wakati huo huo Jamhuri ilikuwa na Mashaidi watatu na pia haikuwa na nia ya kuendelea na kesi
Duh,kweli nahisi amendika wakati yupo juu ya kigogo kakikaliaSoma tena wewe mwenyewe kama utaelewa umeandika nini. Una tatizo gani? Tafuta tiba