Rais Msomi
Member
- Jul 28, 2017
- 53
- 67
Wakuu,
Napenda kuuliza kwa anayejua na mwenye exposure ya kimahakama zaidi juu ya hizi hundi ambazo washitakiwa hulipa wakiwa mahakamani ili wapate dhamana.
Tumezoea kusikia kwamba ili mshitakiwa apewe dhamana sharti awe na wadhamini wawili na kila kutakiwa kujaza hundi ya milion kumi kila mmoja.
Kwa mfano, Mahakama ikipata kesi kumi tu za sampuli hiyo kwa mwezi maana yake ni kwamba watavuna aghalau milion Mia moja mpaka Mia mbili.
Swali, Hizi hela zinafanya kazi gani? Zinaingizwa hazina ya Taifa? Ni posho na marupurupu ya maofisa wa Mahakama na wale wa upepelelezi? Au ndizo zinazounda bajeti ya Mahakama?
Nisaidieni Kujua!!!
Napenda kuuliza kwa anayejua na mwenye exposure ya kimahakama zaidi juu ya hizi hundi ambazo washitakiwa hulipa wakiwa mahakamani ili wapate dhamana.
Tumezoea kusikia kwamba ili mshitakiwa apewe dhamana sharti awe na wadhamini wawili na kila kutakiwa kujaza hundi ya milion kumi kila mmoja.
Kwa mfano, Mahakama ikipata kesi kumi tu za sampuli hiyo kwa mwezi maana yake ni kwamba watavuna aghalau milion Mia moja mpaka Mia mbili.
Swali, Hizi hela zinafanya kazi gani? Zinaingizwa hazina ya Taifa? Ni posho na marupurupu ya maofisa wa Mahakama na wale wa upepelelezi? Au ndizo zinazounda bajeti ya Mahakama?
Nisaidieni Kujua!!!