Wakuu hili mnalionaje waheshimiwa mahakimu kutupilia mbali kesi zote zilizofunguliwa zidi ya wabunge wa upinzani cos jana waliona jinsi gani wabunge wa ccm walivyopambana kukataa maslai yanayowahusu waheshimiwa mahakimu,na wameona kwa kiac gani wapinzani walivyojitahidi bila mafanikio kuwatetea...
Nawasilisha