Habari ya muda huu GF.natumai mko salama nyote.straight to the point..
Mungu akinijaalia uzima kesho nitakwenda kwa mwl mwakasege kupata neno la Mungu.lakin shida iliyopo kwangu ni kwamba sijui nikipanda magari ya kawe nashukia kituo gani ili nipate kufika hiyo sehemu husika???msaada wenu tafadhali.
Natanguliza shukrani za dhati kwenu na Mungu azidi kuwabariki kila iitwapo leo.karibun tule neno la Mungu na kukua kiroho[emoji120]
usiwe na wasiwasi nadhani nusu ya hilo gari utalopanda wote watakuwa wanaenda kwenye mkutano,Si unajua Mwakasege tena,lkn nadhani kituo kinaitwa Tanganyika packers
usiwe na wasiwasi nadhani nusu ya hilo gari utalopanda wote watakuwa wanaenda kwenye mkutano,Si unajua Mwakasege tena,lkn nadhani kituo kinaitwa Tanganyika packers