Mbunge wa zamani wa jimbo la ukonga Mahanga ameamua kurejea jimbo jipya la Segerea baada ya kuona maji yapo shingoni..
Kwa sasa akiwa na kiasi kikubwa cha fedha za kumaliza ubunge na uwaziri kuliko wapinzani wake ndani ya jimbo anaonekanaa kutumia vyema fedha kuwarubuni wajumbe katika vikao vyake vya ndani.
Jamani hivi huyuu jamaa kwa rekodi yake bado Segereaa anatufaaa?? hana lolote alilotufanyia kwa miaka kumi zaidii ya kuongezaa kero kwenye eneo letu segerea.
Wanasegerea naomba tuchague MABADILKOOOOOOO..
Kwa sasa akiwa na kiasi kikubwa cha fedha za kumaliza ubunge na uwaziri kuliko wapinzani wake ndani ya jimbo anaonekanaa kutumia vyema fedha kuwarubuni wajumbe katika vikao vyake vya ndani.
Jamani hivi huyuu jamaa kwa rekodi yake bado Segereaa anatufaaa?? hana lolote alilotufanyia kwa miaka kumi zaidii ya kuongezaa kero kwenye eneo letu segerea.
Wanasegerea naomba tuchague MABADILKOOOOOOO..