Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,468
- 911,184
- Thread starter
-
- #221
kumbe na wazee mnazungukia na huku! Nilijua unaishiaga sebuleni kule jukwaa la siasa.
Asprin anzia kwa BlakiWomani khalafu unipashe khabari........[MENTION]@BlakiWomani, Asprin[/MENTION]
tengeneza bend ya taarabu. w noma. u can win kili music awards wth that.
Hahahaha...... Mambo yakiwa mazuri usitegemee habari njema lol
Wanasema kizuri kula na nduguyo lakini bana mi nasema inategemea na uzuri wenyewe na undugu wenyewe pia.....
mh...imbombo ngafu!
Tatizo ndio huo utaalamu....umeona mambo hapa....ya kung'atana na kufinyana kama mtu anatafuta stesheni ya redio. Nashangaa kuwa bado hakuna aliyesema kuwa mahanjamu ya chuchu nayo "ukoloni mambo leo".MAMMAMIA......chuchu tamu kama utaalamu wake unao............
we' utakuwa na hisia za kishetani,yaani chuchu unazifananisha na maandazi.Afu raha yake uyapake mawese, yanakuwa kama mandazi vile.
Kaunga mimi nimejituliza kama kasuku nikisubiria wewe na mwandani wako mkisha kuchokana na kupeana migongo niingie kiuzimauzima na kuchukua nafasi yangu kwako..................hapo ndipo utajua makali yangu ya kung'ata chuchu zako na hutaniacha hata kamasinavijisenti.......LOL[MENTION]Kaunga[/MENTION]
Ahaaa mambo hayoooo...wanasema "owe ibanga tagalama shana omulimile akaina" sasa chuchu ndo mambo yote alafu ndo unatoa KATECH (Kagera Technology)
Nimeamka vema; mng'ataji hayupo bwana, nimekumbatia mto tu usiku wote! Poor me....... LOL
Huku nicje ingiza mambo ya SIASA nikatimuliwa... maana hata sielewi,Mara kung'atwa.cjui,mara kulalia mto,mara Kipele Mmmh!!! Bye Ruta..
bisha khodi kwanza tukupokee.................
Asikwambie mtu maswala ya chuchu napenda sana kunyonya huuuuwiii!!mpaka nasikia masikio yanaziba halafu liwe gumu!!utanitaka nita duu mpa ile basi!!nikichoka chini nahamia kwenye denda namalizia chuchu full vionjo hakuna kuchoka!!