ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 2,424
- 4,954
Kwanza nianze Kusema kuna Mgao wa umeme. Narudia tena kuna Mgao wa umeme.
Napenda kuhoji kwanini Chande Maharage hajatangaza huu mgao wa umeme, ni mara chache mno tunakuwa na mgao wa umeme mwezi wa saba, tunategemea kuwa na mgao kuanzia mwezi wa 10 maana ndo kiangazi kikali kinaanza.
Huyu Maharage mzee wa mifumo ya TEHAMA amefeli kabisa, najua hatuwezi kumlaumu lakini basi japo atupe taarifa kuhusu huu mgao Ili tujipange.
Nasema Kuna Mgao wa umeme, kama unabisha muulize mpenzi wako wa TANESCO.
Napenda kuhoji kwanini Chande Maharage hajatangaza huu mgao wa umeme, ni mara chache mno tunakuwa na mgao wa umeme mwezi wa saba, tunategemea kuwa na mgao kuanzia mwezi wa 10 maana ndo kiangazi kikali kinaanza.
Huyu Maharage mzee wa mifumo ya TEHAMA amefeli kabisa, najua hatuwezi kumlaumu lakini basi japo atupe taarifa kuhusu huu mgao Ili tujipange.
Nasema Kuna Mgao wa umeme, kama unabisha muulize mpenzi wako wa TANESCO.