Maharage Hayakomolewi...Kisa cha Maharage ya Mbeya!

Kweli maharage ya mbeya noma hadi Mentor alivimbewa.
 
Last edited by a moderator:
Mentor hayo maharage ya mbeya uliyala siku ngapi!!!!!!!!

mbona yamekufanya uwakinai Kibua wako kwa haraka sana!!!!!!!!!

Wewe wajua vyema, maana ulikuwa mshauri wangu mkuu. Kila siku, "Mentor usiache kuonja maharage ya Mbeya."

Kumbeeeeeeeeeeeeeeee.......................huna maaaaaaaana hiyo...................basi nimeingi mkengeeeeeeeeeeeeeee!!!!!
nakumbuka mitaa ya maendeleo mbele kidogo ya airport! NIMEPAMISSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSS!!!!!!!!!

Mie nayajua ya Mwanjelwa, wala hupimiwi kwa kilo...

Mwishoni umeonyesha maana hiyo hiyo.
kweli umeyakomoa ya mbeya..

Nayo yamenikomoa...!

Yale yanayoliwa kwa staili yake spesho lol...

Naam...usikubali kudanganywa na watu8, hana nia njema nami!!!!

Hahah...tena sio kuwa KIBUA wakiona kichungu, bali yake miba imekuwa ni kadhia

Swadaktaaa..!!!

Heaven on earth puliziiii msaidie dadayo, naona hii siredi iko changanya kabisa medulla oblongata yake...teh teh!!!

Wewe na Heaven on earth mnawapotosha wasomaji!!!!
 
Last edited by a moderator:


Hakika una maana hiyooo!!!
 

mwallu tumefukuzwa na Mentor@ lesi go! chap chap sana......naona yeye hajui ushairi na hataki kujifunza! maharage ya mbeya mabaya sana...
 
Last edited by a moderator:
mwallu tumefukuzwa na Mentor@ lesi go! chap chap sana......naona yeye hajui ushairi na hataki kujifunza! maharage ya mbeya mabaya sana...

Ushairi naujua, tena naumanya sana
ila kaa ukijua, tena uelewe sana Mwalu keishaonelewa, na ndani yu karibu wekwa
hilo usipolielewa, mkuki ma------ni wakuhusu!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Mentor mimi elewa zaidi sana wewe yaaani mecheka sana
 
Last edited by a moderator:
Mentor mimi elewa zaidi sana wewe yaaani mecheka sana
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…