Juzi nilikuwa nimetulia natafakari kuhusu yanayoendelea Msumbiji!!
From nowhere nikajikuta najiuliza hivi wale wateka meli wa Kisomali siku hizi wako wapi!!
Badala ya kutafuta jibu, nikaanza kuwaona akilini wateka meli wa "Kisomali" wakipanga kuhamia Msumbiji!!!