ni pm nikupe msaada wa mahari lakini uje na huyo mchumba wako
ni pm nikupe msaada wa mahari lakini uje na huyo mchumba wako
Hivi watu wanatoaga mahari hadi leo eeh? Kumbe kuzaa mabinti ni kabiashara kazuri. Jilipue baba, nakushauri utafute mtu mzima wa kabila lake akupe picha ya pa kuanzia.
ni nyingi ila sio mbaya sana, ni kama ng'ombe 30 tu.
kumbe ng'ombe 30 ni milioni 4 tu! 🙁
inaweza kuwa hivyo.
Bei ya ng'ombe wa mahari huwa sio kama anavyouzwa sokoni, anakuwa na bei ya chini zaidi.
Hii huwa naona tunavyobargain wakati wa mahari.
Sasa hapa kama ng'ombe sokoni ni laki mbili kwa msimu huu wa kiangazi, basi ng'ombe wa mahari anaweza thamanishwa kati ya 125,000 hadi 150,000.
Mahari ya Jazzy shi'ngapi?
Mahari mpaka kiama kitasimama yatakuwepo tu.
Kwa wengine mahari ni zawadi ya biharusi, kwa hiyo wazazi hawana chao.
Mmmmh ni hivyo eee? Maana niliona humu JF ng'ombe wa kisasa wa maziwa kila mmoja anauzwa 950,000 na kuendelea hadi 1,350,000. Sasa hii ya milioni nne kupata ng'ombe 30 imenishtua na kunishangaza sana.
Hebu nieleweshe mnavyo bargain wakati wa mahari inakuwaje? Mnakuwa mna bargain ng'ombe au thamani yake?
Kwetu unaweza ambiwa ng'ombe 10 lakini kila mmoja kwa bei ya tshs 1000 tu!