RedPill Prophet
JF-Expert Member
- Apr 25, 2023
- 1,408
- 3,564
🤣🤣🤣🙌🙌. Ameipata hii offer?Sawasawa...uje nikupe na offer uncle, fanya chap kabla giza halijaingia😄
Pengine ni weweNi kijana mwenzangu sekta ya afya, mwaka huu mwanzoni aliamua kwenda kutoa posa kwa binti ambaye alipanga aanzishe naye familia.
Binti mwajiriwa wa serikali na asili yao ni kanda ya ziwa ila wanaishi na familia katika moja mikoa wa Pwani.
Mshenga alitumwa pamoja na baadhi ya wanafamilia wa kijana.
Kijana aliaandaa milioni 2 mfukoni siku hiyo ambayo alishika mjomba wake .
Kusikilizwa laki 2 , kishika uchumba laki 3 , wakatoa cash.
Mahari ikatajwa ng'ombe 10 @400,000/- jumla mil 4 na vitu vingine milioni 1, jumla ya mahari milioni 5 itolewe yote kwa pamoja bila kuacha deni.
Mshenga akabembeleza pale ila wapi. Wakajibiwa kwa mila za kwao kupunguza mahari ni dharau , hilo Jambo haliwezekani.
Basi ule msafara wake ukarudi bila muafaka.
Kabla ya hapo Kijana alipanga na mchumba wake kuwa mahari itakuwa milioni 2.5 so yeye alijua akitoa milioni 2 akibakisha deni la laki 5, kama tunavyooambiana mtaani mahari haimaliziwi.
Kijana akamtafuta yule binti akamuuliza vp mbona mambo yameenda ndivyo sivyo, alipanga 2.5 wametajiwa 5.
Binti akamjibu kuwa yeye yupo na ndugu zake lazima mila ifuatwe.
Kijana akasema sawa ngoja nikajipange tena nitarudi nikikamilisha.
Ila septemba hii jamaa ananimbia anafikiria kughairi lile swala lake.
Mimi nikamwambia hakikisha ili lak 5 yako unarudishiwa [emoji23][emoji23][emoji23] .
Tayari alishaipata😅😅🤣🤣🤣🙌🙌. Ameipata hii offer?
Ndyo lakini siwezi kuwaacha hivihivi 😃Mambo ya ada ni majukumu yao lakini
Mahari kama kununua kirikuu!Ni kijana mwenzangu sekta ya afya, mwaka huu mwanzoni aliamua kwenda kutoa posa kwa binti ambaye alipanga aanzishe naye familia.
Binti mwajiriwa wa serikali na asili yao ni kanda ya ziwa ila wanaishi na familia katika moja mikoa wa Pwani.
Mshenga alitumwa pamoja na baadhi ya wanafamilia wa kijana.
Kijana aliaandaa milioni 2 mfukoni siku hiyo ambayo alishika mjomba wake .
Kusikilizwa laki 2 , kishika uchumba laki 3 , wakatoa cash.
Mahari ikatajwa ng'ombe 10 @400,000/- jumla mil 4 na vitu vingine milioni 1, jumla ya mahari milioni 5 itolewe yote kwa pamoja bila kuacha deni.
Mshenga akabembeleza pale ila wapi. Wakajibiwa kwa mila za kwao kupunguza mahari ni dharau , hilo Jambo haliwezekani.
Basi ule msafara wake ukarudi bila muafaka.
Kabla ya hapo Kijana alipanga na mchumba wake kuwa mahari itakuwa milioni 2.5 so yeye alijua akitoa milioni 2 akibakisha deni la laki 5, kama tunavyooambiana mtaani mahari haimaliziwi.
Kijana akamtafuta yule binti akamuuliza vp mbona mambo yameenda ndivyo sivyo, alipanga 2.5 wametajiwa 5.
Binti akamjibu kuwa yeye yupo na ndugu zake lazima mila ifuatwe.
Kijana akasema sawa ngoja nikajipange tena nitarudi nikikamilisha.
Ila septemba hii jamaa ananimbia anafikiria kughairi lile swala lake.
Mimi nikamwambia hakikisha ili lak 5 yako unarudishiwa [emoji23][emoji23][emoji23] .
Duuh bei ya kiwanja na msingi!Saizi nimekondakonda kidogo nataka mil8 ila kama nitanenepa hadi mwakani itakua ml10....ila mwambie muoaji asiogope nitamsaidia😄😄
Hakuna mwolewaji hapo. Atulize akili apate mwingine mbona wanawake wapo wengi tu wanaojielewa.Ni kijana mwenzangu sekta ya afya, mwaka huu mwanzoni aliamua kwenda kutoa posa kwa binti ambaye alipanga aanzishe naye familia.
Binti mwajiriwa wa serikali na asili yao ni kanda ya ziwa ila wanaishi na familia katika moja mikoa wa Pwani.
Mshenga alitumwa pamoja na baadhi ya wanafamilia wa kijana.
Kijana aliaandaa milioni 2 mfukoni siku hiyo ambayo alishika mjomba wake .
Kusikilizwa laki 2 , kishika uchumba laki 3 , wakatoa cash.
Mahari ikatajwa ng'ombe 10 @400,000/- jumla mil 4 na vitu vingine milioni 1, jumla ya mahari milioni 5 itolewe yote kwa pamoja bila kuacha deni.
Mshenga akabembeleza pale ila wapi. Wakajibiwa kwa mila za kwao kupunguza mahari ni dharau , hilo Jambo haliwezekani.
Basi ule msafara wake ukarudi bila muafaka.
Kabla ya hapo Kijana alipanga na mchumba wake kuwa mahari itakuwa milioni 2.5 so yeye alijua akitoa milioni 2 akibakisha deni la laki 5, kama tunavyooambiana mtaani mahari haimaliziwi.
Kijana akamtafuta yule binti akamuuliza vp mbona mambo yameenda ndivyo sivyo, alipanga 2.5 wametajiwa 5.
Binti akamjibu kuwa yeye yupo na ndugu zake lazima mila ifuatwe.
Kijana akasema sawa ngoja nikajipange tena nitarudi nikikamilisha.
Ila septemba hii jamaa ananimbia anafikiria kughairi lile swala lake.
Mimi nikamwambia hakikisha ili lak 5 yako unarudishiwa [emoji23][emoji23][emoji23] .
Kwenye familia zenye ustaarabu kupungukiwa mahari hakuwezi kumkosesha kijana mke hata siku moja. Hiyo familia itakua ni zile familia za ajabu ajabu tu. Huyo kijana hata kama angekua na hiyo pesa, ingekua ni kilio kikuu kwake kuoa mwanamke kutoka familia ya ajabu kiasi hicho.Ni kijana mwenzangu sekta ya afya, mwaka huu mwanzoni aliamua kwenda kutoa posa kwa binti ambaye alipanga aanzishe naye familia.
Binti mwajiriwa wa serikali na asili yao ni kanda ya ziwa ila wanaishi na familia katika moja mikoa wa Pwani.
Mshenga alitumwa pamoja na baadhi ya wanafamilia wa kijana.
Kijana aliaandaa milioni 2 mfukoni siku hiyo ambayo alishika mjomba wake .
Kusikilizwa laki 2 , kishika uchumba laki 3 , wakatoa cash.
Mahari ikatajwa ng'ombe 10 @400,000/- jumla mil 4 na vitu vingine milioni 1, jumla ya mahari milioni 5 itolewe yote kwa pamoja bila kuacha deni.
Mshenga akabembeleza pale ila wapi. Wakajibiwa kwa mila za kwao kupunguza mahari ni dharau , hilo Jambo haliwezekani.
Basi ule msafara wake ukarudi bila muafaka.
Kabla ya hapo Kijana alipanga na mchumba wake kuwa mahari itakuwa milioni 2.5 so yeye alijua akitoa milioni 2 akibakisha deni la laki 5, kama tunavyooambiana mtaani mahari haimaliziwi.
Kijana akamtafuta yule binti akamuuliza vp mbona mambo yameenda ndivyo sivyo, alipanga 2.5 wametajiwa 5.
Binti akamjibu kuwa yeye yupo na ndugu zake lazima mila ifuatwe.
Kijana akasema sawa ngoja nikajipange tena nitarudi nikikamilisha.
Ila septemba hii jamaa ananimbia anafikiria kughairi lile swala lake.
Mimi nikamwambia hakikisha ili lak 5 yako unarudishiwa [emoji23][emoji23][emoji23] .
Hilo jambo lishanitokea tena hivyo hivyo nilimtema huyo dada mpka leo nilioa mwingine.Ni kijana mwenzangu sekta ya afya, mwaka huu mwanzoni aliamua kwenda kutoa posa kwa binti ambaye alipanga aanzishe naye familia.
Binti mwajiriwa wa serikali na asili yao ni kanda ya ziwa ila wanaishi na familia katika moja mikoa wa Pwani.
Mshenga alitumwa pamoja na baadhi ya wanafamilia wa kijana.
Kijana aliaandaa milioni 2 mfukoni siku hiyo ambayo alishika mjomba wake .
Kusikilizwa laki 2 , kishika uchumba laki 3 , wakatoa cash.
Mahari ikatajwa ng'ombe 10 @400,000/- jumla mil 4 na vitu vingine milioni 1, jumla ya mahari milioni 5 itolewe yote kwa pamoja bila kuacha deni.
Mshenga akabembeleza pale ila wapi. Wakajibiwa kwa mila za kwao kupunguza mahari ni dharau , hilo Jambo haliwezekani.
Basi ule msafara wake ukarudi bila muafaka.
Kabla ya hapo Kijana alipanga na mchumba wake kuwa mahari itakuwa milioni 2.5 so yeye alijua akitoa milioni 2 akibakisha deni la laki 5, kama tunavyooambiana mtaani mahari haimaliziwi.
Kijana akamtafuta yule binti akamuuliza vp mbona mambo yameenda ndivyo sivyo, alipanga 2.5 wametajiwa 5.
Binti akamjibu kuwa yeye yupo na ndugu zake lazima mila ifuatwe.
Kijana akasema sawa ngoja nikajipange tena nitarudi nikikamilisha.
Ila septemba hii jamaa ananimbia anafikiria kughairi lile swala lake.
Mimi nikamwambia hakikisha ili lak 5 yako unarudishiwa [emoji23][emoji23][emoji23] .
Iyo laki tano anikodi nifwatilie maokoto ya shida ivi lazima waludishe staki ujinga pwani sehemu mkuu nianze safariHio Laki 5 irudi mapema, uchumi Umekua mgumu sana ye anatupa laki 5 kabisa, yaani Nusu milioni!
Mwache aropoke! Na nyie vijana kama unaona hiyo mila huiwezi si mkaoe kwenye makabila yenu ambako mila zinaendana? Ila hiyo familia nayo itakuwa inaendeshwa na mama, Siku hizi mbona mahari inapangwa na binti mwenyewe? Usukumani hakuna mila ya kishika uchumba ya laki 3. Hizo laki 5 zilikuwa za nini? Kama walisema ng'ombe 10, kwa pesa Usukumani hiyo ni milioni 2 sasa huyo ng'ombe wa laki 4 ametoka wapi?Mahari kibongobongo hazifuati dini za wahusika bali mila za kabila na ukoo huo.
Kama anajimudu na amependa sana awalipe zote,aoe binti huyo,akishamuoa tu,awafungie vioo na asijiweke karibu na familia ya mwanamke,na asijihushe na jambo lolote lile kuhusu familia ya mwanamke,iwe msiba, shughuli au matatizo mengine, kikubwa mwanamke aheshimu maamuzi yake mwanaume kama sasa hivi anavyoheshimu maamuzi ya familia yake kwenye kupanga hiyo mahari.Ndoa ni undugu,sasa kama hiyo familia haitambui hilo ni kunyooshana tu,ila mwanamke atakapo taka kwenda kwao ampe uhuru wa kwenda muda wote ule akawasalimie ndugu zake na wazazi wake,asimkataze.maana wengine wakifanyiwa hayo matendo wakati wa ulipaji mahari hawataki hata binti akasalimie kwao.Ni kijana mwenzangu sekta ya afya, mwaka huu mwanzoni aliamua kwenda kutoa posa kwa binti ambaye alipanga aanzishe naye familia.
Binti mwajiriwa wa serikali na asili yao ni kanda ya ziwa ila wanaishi na familia katika moja mikoa wa Pwani.
Mshenga alitumwa pamoja na baadhi ya wanafamilia wa kijana.
Kijana aliaandaa milioni 2 mfukoni siku hiyo ambayo alishika mjomba wake .
Kusikilizwa laki 2 , kishika uchumba laki 3 , wakatoa cash.
Mahari ikatajwa ng'ombe 10 @400,000/- jumla mil 4 na vitu vingine milioni 1, jumla ya mahari milioni 5 itolewe yote kwa pamoja bila kuacha deni.
Mshenga akabembeleza pale ila wapi. Wakajibiwa kwa mila za kwao kupunguza mahari ni dharau , hilo Jambo haliwezekani.
Basi ule msafara wake ukarudi bila muafaka.
Kabla ya hapo Kijana alipanga na mchumba wake kuwa mahari itakuwa milioni 2.5 so yeye alijua akitoa milioni 2 akibakisha deni la laki 5, kama tunavyooambiana mtaani mahari haimaliziwi.
Kijana akamtafuta yule binti akamuuliza vp mbona mambo yameenda ndivyo sivyo, alipanga 2.5 wametajiwa 5.
Binti akamjibu kuwa yeye yupo na ndugu zake lazima mila ifuatwe.
Kijana akasema sawa ngoja nikajipange tena nitarudi nikikamilisha.
Ila septemba hii jamaa ananimbia anafikiria kughairi lile swala lake.
Mimi nikamwambia hakikisha ili lak 5 yako unarudishiwa [emoji23][emoji23][emoji23] .
Hiiiiiiiiii! Hiith, Hiith, Hiith nimekuita mara tatu, huo mchezo kuna jamaa yangu alijidai kuufanya ili awakomoe wazee, baada ya mpachiko akaruka weeeee, jongoo liligoma kupanda mtungi mpaka kesho kutwa! Ogopa watoto wa watu huwezi kujua kanajiamini nini hako kazee!chamaana mpige mimba ya mapacha mbona hyo laki tano watarudisha watakuomba ukae na binti yao bure
Kwanza sasa hivi kwa maisha haya ya uswahilini ukitajiwa mahari above 1.5M ,geuka nenda katafute mchumba kwengine uoe.mahari ipo pale kwa ajili ya kuhalalisha ndoa,na sio biasharaMahari ya 5m kwa kipi hasa? Ndoa zenyewe tia maji hizi, mwanamke umekutana nae ukubwani wakubwa walishatanua njia, hakuna bikra na kidume utoe 5m, ni ujinga uliopitiliza.
Kwanza hiyo 500k waambie wairudishe ili kama mchakato hauendelei usipate hasara. Mahari isizidi 2m maana there's nothing new utakiona kwa bidada.
Ni kijana mwenzangu sekta ya afya, mwaka huu mwanzoni aliamua kwenda kutoa posa kwa binti ambaye alipanga aanzishe naye familia.
Binti mwajiriwa wa serikali na asili yao ni kanda ya ziwa ila wanaishi na familia katika moja mikoa wa Pwani.
Mshenga alitumwa pamoja na baadhi ya wanafamilia wa kijana.
Kijana aliaandaa milioni 2 mfukoni siku hiyo ambayo alishika mjomba wake .
Kusikilizwa laki 2 , kishika uchumba laki 3 , wakatoa cash.
Mahari ikatajwa ng'ombe 10 @400,000/- jumla mil 4 na vitu vingine milioni 1, jumla ya mahari milioni 5 itolewe yote kwa pamoja bila kuacha deni.
Mshenga akabembeleza pale ila wapi. Wakajibiwa kwa mila za kwao kupunguza mahari ni dharau , hilo Jambo haliwezekani.
Basi ule msafara wake ukarudi bila muafaka.
Kabla ya hapo Kijana alipanga na mchumba wake kuwa mahari itakuwa milioni 2.5 so yeye alijua akitoa milioni 2 akibakisha deni la laki 5, kama tunavyooambiana mtaani mahari haimaliziwi.
Kijana akamtafuta yule binti akamuuliza vp mbona mambo yameenda ndivyo sivyo, alipanga 2.5 wametajiwa 5.
Binti akamjibu kuwa yeye yupo na ndugu zake lazima mila ifuatwe.
Kijana akasema sawa ngoja nikajipange tena nitarudi nikikamilisha.
Ila septemba hii jamaa ananimbia anafikiria kughairi lile swala lake.
Mimi nikamwambia hakikisha ili lak 5 yako unarudishiwa [emoji23][emoji23][emoji23] .
Waone nini bhana hao wazazi? Ni wahuni tu, mtoto amesoma mpaka ana kazi yake amepata mchumba amempeleka kwao, unafikri yeye hajaviona vyote kwa huyo kijana? Hawa ndo aina ya wazazi wanaoharibu maisha ya watoto wao kwa kujifanya wajuaji.Wazazi wake wanamponza binti yao.....ila pia huwezi jua wameona nini kwa huyo kijana.....mambo yao tuwaachie wenyewe
Sasa hapo si hana pesa,Wasukuma mwenye dau kubwa ndio anaoa binti akilazimisha atakula bakora Hadi akomeNi kijana mwenzangu sekta ya afya, mwaka huu mwanzoni aliamua kwenda kutoa posa kwa binti ambaye alipanga aanzishe naye familia.
Binti mwajiriwa wa serikali na asili yao ni kanda ya ziwa ila wanaishi na familia katika moja mikoa wa Pwani.
Mshenga alitumwa pamoja na baadhi ya wanafamilia wa kijana.
Kijana aliaandaa milioni 2 mfukoni siku hiyo ambayo alishika mjomba wake .
Kusikilizwa laki 2 , kishika uchumba laki 3 , wakatoa cash.
Mahari ikatajwa ng'ombe 10 @400,000/- jumla mil 4 na vitu vingine milioni 1, jumla ya mahari milioni 5 itolewe yote kwa pamoja bila kuacha deni.
Mshenga akabembeleza pale ila wapi. Wakajibiwa kwa mila za kwao kupunguza mahari ni dharau , hilo Jambo haliwezekani.
Basi ule msafara wake ukarudi bila muafaka.
Kabla ya hapo Kijana alipanga na mchumba wake kuwa mahari itakuwa milioni 2.5 so yeye alijua akitoa milioni 2 akibakisha deni la laki 5, kama tunavyooambiana mtaani mahari haimaliziwi.
Kijana akamtafuta yule binti akamuuliza vp mbona mambo yameenda ndivyo sivyo, alipanga 2.5 wametajiwa 5.
Binti akamjibu kuwa yeye yupo na ndugu zake lazima mila ifuatwe.
Kijana akasema sawa ngoja nikajipange tena nitarudi nikikamilisha.
Ila septemba hii jamaa ananimbia anafikiria kughairi lile swala lake.
Mimi nikamwambia hakikisha ili lak 5 yako unarudishiwa [emoji23][emoji23][emoji23] .
Yes huyo sio mke sahihi, mke sahihi humtetea mmewe.Inaonesha uyo binti ni wa aina gani!
Mwambie apige chini uyo binti.