Daudi alimbiwa akakete magovi ya ndugu zako wapalestina ambao atakuwa amewauwa vitani.Sana tena, ndiyo maana nikafungulia uzi.
Uwache kudanganya, kuwa mkweli wa nafsi yako, usitetee ujinga kwa kudanganya.
Kisa hiki cha magovi kinakufundisha nini? Binafsi naona ni kichekesho tu.
Nyie waislam si ndugu kwaiyo mkiuawa na wayahudi ili kupeleka ushahidi kwa watawala inabidi tuwakate magovi waume zenu hata sasa hii mbinu bado inatumika sana pale wanapouwa waislam waliovamia ardhi yao.Ndugu zako pia kwa Adam, au wewe ni jamii ya masokwe?
Na hao si ndiyo wanamkataa Yesu. Usisahau hilo.
Nna kushangaa sana, hizo aya zinahusiana nini na mahari ya magovi 100?Cha ajabu nini?? Kwa nini unatumia akili yako dhaifu kujibu hoja na kuanzisha uzi, badala ya kurejea kwanza kwenye Quran ili uone Allah anafundisha nini!?
Allah anakufahamisha hata watu wa machakani waliwakataa Mitume! Sikutegemea mwezi huu unaweza kuanzisha uzi wa magovi; wakti huelewi Madhumuni ya MWENYEZI MUNGU kuleta hilo fundisho! Omba toba!View attachment 1098026View attachment 1098027
Acha YESU Kakujibu...!Nna kushangaa sana, hizo aya zinahusiana nini na mahari ya magovi 100?
Nafurahi kuona kuwa umeweka mistari ya Qur'an ambayo unajifunza kutokana nayo lakini aya za magovi mia na magovi mia mbili sijui zinatufunza nini? Unaweza kuelezea?
Inahusiana nini na mahari ya magovi 100?Acha YESU Kakujibu...!View attachment 1098039
Jibu hilo hapo, YESU Hana hiyana anakujibu! Usiinue jiwe kumpiga!Inahusiana nini na mahari ya magovi 100?
Ooh kumbe wakati inaandikwa habari ya magovi 100 Yesu hakuwa Mungu?
kwa iyo wafilisti walikuwa hawatahiliwi?Mambo mengine ingawa ni ya "kweli" kabisa na ni "imani" ya wengi, lakini inabidi yawe jukwaa hili la utani. Maana mahari ya govi ni zaidi ya utani.
Nimecheka sana tena kuona kuwa mkono wa sweta, ndiyo, namaanisha govi, govi hili la wenye magovi limeshawahi kutumikia kama mahari ya kumuoa binti, tena binti mfalme. Kama huamini endelea kusoma...
25 Naye Sauli akasema, Mwambieni Daudi hivi, Mfalme hataki mahari yo yote, ila anataka govi mia za Wafilisti, ili ajilipize kisasi adui za mfalme. Basi Sauli alidhani kumwangamiza Daudi kwa mkono wa Wafilisti.
26 Na watumishi wake walipomwambia Daudi; maneno hayo, ilimpendeza Daudi sana kuwa mkwewe mfalme. Na siku zilikuwa hazijaisha bado;
27 basi Daudi akainuka, akaenda yeye na watu wake, akaua katika Wafilisti watu mia mbili; na Daudi akazileta govi zao, wakampa mfalme hesabu kamili, ili awe mkwewe mfalme. Naye Sauli akamwoza Mikali, binti yake.
Biblia hiyo, 1 Samuel 18.
"Udini" ndiyo nini?
Hebu be on the lighter side, huoni ufahari kuwa biblia imenichekesha asubuhi asubuhi?
Hivi wewe unaenda kuhesabu, govi la kwanza, pili, tatu, nne... Mpaka 200 kwa mkweo?
Kwi kwimkwimkwi teh teh teh teh. Nimecheka sana .
Huyo mfalme alikuwa mchawi. Magovi NI kizimba hatari Sana kwenye uchawi.Mambo mengine ingawa ni ya "kweli" kabisa na ni "imani" ya wengi, lakini inabidi yawe jukwaa hili la utani. Maana mahari ya govi ni zaidi ya utani.
Nimecheka sana tena kuona kuwa mkono wa sweta, ndiyo, namaanisha govi, govi hili la wenye magovi limeshawahi kutumikia kama mahari ya kumuoa binti, tena binti mfalme. Kama huamini endelea kusoma...
25 Naye Sauli akasema, Mwambieni Daudi hivi, Mfalme hataki mahari yo yote, ila anataka govi mia za Wafilisti, ili ajilipize kisasi adui za mfalme. Basi Sauli alidhani kumwangamiza Daudi kwa mkono wa Wafilisti.
26 Na watumishi wake walipomwambia Daudi; maneno hayo, ilimpendeza Daudi sana kuwa mkwewe mfalme. Na siku zilikuwa hazijaisha bado;
27 basi Daudi akainuka, akaenda yeye na watu wake, akaua katika Wafilisti watu mia mbili; na Daudi akazileta govi zao, wakampa mfalme hesabu kamili, ili awe mkwewe mfalme. Naye Sauli akamwoza Mikali, binti yake.
Biblia hiyo, 1 Samuel 18.
Biblia inasema Hivi...Huyo mfalme alikuwa mchawi. Magovi NI kizimba hatari Sana kwenye uchawi.
Hata Shetani kaandikwa kwenye Bible. Hata habari za Sodoma na Gomora zimeandikwa kwenye Bible na Quoran pia if we go down to that level.Biblia inasema Hivi...
16 Kila andiko, lenye pumzi ya Mungu, lafaa kwa mafundisho, na kwa kuwaonya watu makosa yao, na kwa kuwaongoza, na kwa kuwaadibisha katika haki;
Kwa.mafundisho hayo ya Timotheo SASA kisa cha magovi kama mahari kinaingia wapi hapo kwenye "pumzi ya Mungu"?
lusungo njoo usaidie jibu.
Alipewa bintiLengo halikuwa hizo Govi,(mbolo) zije Kama mahali, Sauli alikuwa na Chili na ugomvi na Daudi baada ya kujua kuwa anachukua kiti chake,
Hivyo kumpangia mahali hiyo, ilikuwa aende akauawe na Wafilisti akizitafuta Mb*lo 100 za kutoa mahali.
Mungu alikuwa upande wake akaleta Mb*lo za kutosha na bado hakupewa Binti.
"Mungu akiwa upande wako"
Sent using Jamii Forums mobile app