Mahasimu wa Kambona Walimwambia Mwalimu Oscar Ndiye Aliyechochea Maasi ya Tanganyika Rifles

Mahasimu wa Kambona Walimwambia Mwalimu Oscar Ndiye Aliyechochea Maasi ya Tanganyika Rifles

Umeeleza vema. Asante kwa historia.
1. Swali. Mzee Kondo alikueleza kuwa Alimtorosha Nyerere kutumia gari la taka. Sasa kwanini hukumuhoji alimpeleka wapi?
2. Ni nani hao walimfitini Kambona dhidi ya Nyerere?
3. Mke wa Nyerere yuko hai na kwa asilimia kubwa naamini ana maelezo ya kina ya tukio hili. Kama mtafiti umechukua hatua gani kumhoji?
4. Nyerere alitoroka na nani siku hiyo? Alitoroka na familia yake? Kama sivyo, familia yake ilikuwa wapi kwa hizo siku 3?
 
Umeeleza vema. Asante kwa historia.
1. Swali. Mzee Kondo alikueleza kuwa Alimtorosha Nyerere kutumia gari la taka. Sasa kwanini hukumuhoji alimpeleka wapi?
2. Ni nani hao walimfitini Kambona dhidi ya Nyerere?
3. Mke wa Nyerere yuko hai na kwa asilimia kubwa naamini ana maelezo ya kina ya tukio hili. Kama mtafiti umechukua hatua gani kumhoji?
4. Nyerere alitoroka na nani siku hiyo? Alitoroka na familia yake? Kama sivyo, familia yake ilikuwa wapi kwa hizo siku 3?
Voice...
1. Nilimuuliza hakunambia.
2. Mpashaji hakutaka kuwataja.
3. Huwezi kumhoji Mama Maria.
4. Alikuwa na Mlinzi wake Mkuu Peter Bwimbo na hakuwa na familia yake.
Bwimbo anasema walikuwa Kigamboni nyumbani kwa Sultan Kizwezwe.
 
Nina uhakika kama Late Mzee Oscar Kambona angekuwa swala tano hakika ungesema alimchukia kwakuwa alikuwa muslim.
 
Laiti kambona angekuwa muislamu ungeandika kuwa uislamu ndio ulimponza
 
Back
Top Bottom