MaHessy Na Gangsters


Ni "annual homicides by any means" au by gunshots? Kupata takwimu za vifo vitokanavyo na gunshots kwa Afrika haiwezekani maana Polisi huwa wanaficha kwa kiasi kikubwa mambo hayo.
 
Ni "annual homicides by any means" au by gunshots?
Hizi ni annual homicides by GUNS only. Ndio maana pale juu nikasema Kenya might still have much more homicides based on other types of weapons. Hata ngumi zinaua.
Kwenye research, ukifanya correlation ya various statistics utafikia malengo tu. Sio lazima uwategemee polisi tu.
 
Hizi ni annual homicides by GUNS only. Ndio maana pale juu nikasema Kenya might still have much more homicides based on other types of weapons. Hata ngumi zinaua.

Soma vizuri hizo link zako.
 
Okay shukrani dear neighbour. I like to hear these stories unfortunately kuna msee hapa kasema waTz tuko so obsessed na Kenya.
 
Okay Nimekuelewa.
 
Okay Mkuu. I Understand You. Hizi Gangs Sio Nzuri Kabisa Kwa MaYouth.
 
Hahahahahahahaa. Mie Mtz Kabisa. Panya Road Wajinga Hawana Hata Strategies Pumbavu!
 
So Sorry Msee!
 
Hahahaha. Kwaiyo Mimi Ni Kiongoz Wa Gang Au??
Mzee Nimejuta Kufiatilia Na Kujua Mambo Za Kenya Najutaaaaaa!
Ila Sitoacha Kufuatilia Mpaka Nione Kile Kimetokea Between Mwane Sparta Na Hessy.
Na Moha Kama Atapata Ubunge Na Iyo Independent Candidate.
 
Sema hayo ndiyo unayoyafaham sio mnayoyafaham, huwezi kuongelea nafsi za watu wengine!


Na kama hujui vingine kuhusu Tanzania (japo naamini unajua na dhamira yako inakushuhudia) hiyo ni kutokana na aina yako ya maisha!

Wewe unatwambia hujui kitu wakati mkenya mwenzio hadi anajua idadi ya vifo vitokanavyo na siraha Tanzania! Upuuzi gani huu
 

Kama ilivyo kawaida yenu, nyie husoma bandiko na kukimbilia kujibu bila hata kutumia walau dakika moja ili utafakari mwandishi ameandika nini na alikusudia kusema au kumaanisha nini. Naomba urudie nilichokiandika hapo, soma mara kadhaa halafu uje upya maana hamna sehemu nimesema kwamba sina ufahamu wa Tanzania.

Binafsi naifahamu nchi yenu vilivyo, nimekatiza maeneo mengi sana zaidi ya wengi wenu, lakini kabla ya hapo sikua naifahamu zaidi ya Wakenya wa kawaida. Nimeorodhesha vitu vya msingi wanavyovijua Wakenya kuhusu nchi yenu.

Huku Kenya tumezoea kuona mabango kama hili hapa


Au taarifa kama hizi
 


MWANAMKE RAIA WA KENYA AKAMATWA IRINGA KWA UTAPELI | EDDY BLOG | Habari Mwanzo Mwisho

 
Nahisi wewe ndo hujasoma vizuri makala yangu fupi,

Hivi kwa uelewa wako wa kiswahili, mtu akisema "Kama hufahamu vingine" ana maanisha nini? Sentensi hiyo haitoshi kuonesha kuwa tayari kuna orodha ya vitu ambavyo vimeorodheshwa kuwa unavifahamu?

Unatakiwa uondoe hayo mawazo yako yaliyokaa akilini kuwa huwa hatusomi kabla ya kujibu! Mimi sio mmoja wao, kama sijawa na uhakika na kitu cha kuandika basi ntatulia vizuri na kutafakari!

Kuhusu kukatiza maeneo mengi hapa nchini hicho ni kitu cha kawaida kabisa, kila mtu akianza kutaja hapa hapatatosha!
 
mkuu una kiswahili kizuri, nahisi utakuwa umekaa bongo kidogo wewe!

Hongera.
 
Naombeni msaada wenu wakuu.
Natafuta sana movie za Kihindi za zamani (1940-2000) zenye good quality na subtitles za Kiingereza.
Nimejaribu kuzitafuta naona nakwama. Uungwana na kuomba msaada kwa wanaojua/fahamu wapi naweza zipata.
Huku mitandaoni hakuna good quality sana (Youtube zimejaa lakini hazina Subtitles)
Msaada mwenye kujua anijuze nawapata wapi wadosi wangu wa kitambo kina Amitabh Bachchan, Dharmendra, Sunny Deol na wengineo watabe orijinali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…