marandu2010
JF-Expert Member
- Aug 7, 2010
- 1,201
- 446
huko sinza jana tu katika baa fulani,,yule anayedai kuibiwa mke na dr slaa,,amezomewa na hata kunusurika kupokea kipigo,,,kujinusuru ilibidi atoke spidi maeneo hayo,,,nimeamini watanzania wamepanuka kimawazo mweee,,hawako tayari kuvumilia upumbavu,,,safi sana wananchi..