marandu2010
JF-Expert Member
- Aug 7, 2010
- 1,201
- 446
Huu ni ujinga Mkuu, yaani watu kutaka kujichukulia sheria mikononi na uvunjifu wa amani ni "kupanuka kimawazo?",,,nimeamini watanzania wamepanuka kimawazo mweee,,hawako tayari kuvumilia upumbavu,,,safi sana wananchi..
huko sinza jana tu katika baa fulani,,yule anayedai kuibiwa mke na dr slaa,,amezomewa na hata kunusurika kupokea kipigo,,,kujinusuru ilibidi atoke spidi maeneo hayo,,,nimeamini watanzania wamepanuka kimawazo mweee,,hawako tayari kuvumilia upumbavu,,,safi sana wananchi..
Huu ni ujinga Mkuu, yaani watu kutaka kujichukulia sheria mikononi na uvunjifu wa amani ni "kupanuka kimawazo?"
Pana tatizo gani kwa Mahimbo ambaye ugomvi wake ni wa mtu mwingine tena kaupeleka kwenye vyombo vya sheria....tena watu wanawashwa na nini?
Any way, stori yenyewe ipo ipo tu, I hope ni udaku tu!
huu ni ujinga mkuu, yaani watu kutaka kujichukulia sheria mikononi na uvunjifu wa amani ni "kupanuka kimawazo?"
pana tatizo gani kwa mahimbo ambaye ugomvi wake ni wa mtu mwingine tena kaupeleka kwenye vyombo vya sheria....tena watu wanawashwa na nini?
Any way, stori yenyewe ipo ipo tu, i hope ni udaku tu!
Huu ni ujinga Mkuu, yaani watu kutaka kujichukulia sheria mikononi na uvunjifu wa amani ni "kupanuka kimawazo?"
Pana tatizo gani kwa Mahimbo ambaye ugomvi wake ni wa mtu mwingine tena kaupeleka kwenye vyombo vya sheria....tena watu wanawashwa na nini?
Any way, stori yenyewe ipo ipo tu, I hope ni udaku tu!
hata kuchakachua matokeo na kutumia jeshi ni kujichukulia sheria mikononi, ningekuwepo ningemchapa ngumi au ningemtia dole la mk....ndu.
cuf, cuf cuf cuf cuf cuf cuf cuf cuf i hate it!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Huu ni ujinga Mkuu, yaani watu kutaka kujichukulia sheria mikononi na uvunjifu wa amani ni "kupanuka kimawazo?"
Pana tatizo gani kwa Mahimbo ambaye ugomvi wake ni wa mtu mwingine tena kaupeleka kwenye vyombo vya sheria....tena watu wanawashwa na nini?
Any way, stori yenyewe ipo ipo tu, I hope ni udaku tu!